PICHA: Tanzania From 1800's to 1960's

PICHA: Tanzania From 1800's to 1960's

Huu uzi umenibariki sana, umeni-connect na ancestors wangu, niko na-imagine kama time travel ingekua ni ukweli pengine ningerudi nyuma kuwakimbiza hao wazungu
 
Dah tungepata a Time Travelling Machine tungeenda hiyo miaka chapp tukapate videos
 
Kuna chuchu nmeziona hapo! Skuiz hazipo mkuu...ni mwendo wa matikiti maji tu!
 
We baki Na ujamaa wako Na Uhuru wa bendera maendeleo tuwaachie wengine

Wengine wanataka ujamaa na uhuru bila ‘maendeleo’, wewe unataka utawaliwe na wakoloni ili upate maendeleo. Ni mtazamo tu. Kama unapenda sana kutawaliwa si uende utawaliwe?
 
Namuona marialle....exposure kitamboo

Ova
 
Wengine wanataka ujamaa na uhuru bila ‘maendeleo’, wewe unataka utawaliwe na wakoloni ili upate maendeleo. Ni mtazamo tu. Kama unapenda sana kutawaliwa si uende utawaliwe?
[/QUOT
We lzm utakuwa mnyonge,ujamaa ni ukale
 
Back
Top Bottom