Nimesema hivyo kwa sababu kikwete anafanya mambo Bagamoyo huku akiacha kufanya mtwara au mahali pengine mambo yenyewe kama ifuatavyo-: Amejenga barabara kutoka kwao Bagamoyo mpaka Tanga lakini barabara kutoka Dar es salaam ina miaka kibao,Anatengeneza bandari mpya Kwao Bagamoyo wakati bandari...
Ndugu zanguni siku hizi katika mtandao wa Facebook kuna utapeli mtindo wanaotumia ni huu na mara nyingi hawa ni watu kutoka ktika nchi za magharibi mtindo wenyewe ni huu. Anakutumia msg inbox kwamba amependa profile yako na angependa muendelee kuwasiliana kwa kutumia email na anakutumia email...
Ninachoshangaa mimi ni kwanini Lema apewe dhamana kwa kesi ya
uchochezi na kwanini Ponda anyimwe dhamana kwa kesi hiyohiyo ya uchochezi je hii ni haki katika nchi hii inayoitwa ya utawala bora najua nitatukanwa kutoka upande wa CCM,CHADEMA na WlAKRISTO
Ndugu zanguni nisaidieni kunifamisha dawa ya ugonjwa wa kipanda uso,kwa sababu huu ugonjwa unanisumbua sana na naumwa nikiwa katika hali ya hasira, njaa,shibe kupitiliza na mawazo nisaidieni jamani nateseka sana.
siamini kwa sababu na mimi nasumbuliwa sana na ugonjwa na unanipata nikiwa katika hali ya kuwa na njaa,kushiba sana,kuwa na hasira na kuwa na mawazo mengi na ni ugonjwa unaonisumbua sana na sijawahi kufanya hiki kitendo tangu nizaliwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.