Habari ndugu wadau?
Nina maumivu ya mgongo nyuma ya kifua. Je, naweza kua ni dalili mbaya?
Kuanzia mwaka 2009-2012 niliwahi kuugua aina fulani ya jipu mguuni, na nilifanyiwa Operation mbili kwa nyakati tofauti kwasababu madaktari walidai kuwa ni infection disease hivyo inabidi nifanyiwe...
Kwa anaefahamu aina ya dawa za kuongeza uzarishwaji wa kiwango cha hormone ya testosterone tuwasiliane nazihitaji hizo dawa wadau.
Maana nahisi kama ufanisi umepungua .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hbr wana Jf, natafuta kazi ya aina yoyote ile halali kwa malipo ya day kwa maelewano maalum. Kazi inaweza kuwa ya kuuza duka, kusimamia shamba, kusimamia mifugo, kulinda nyumba ambayo ipo kwenye ujenzi nahata kusimamia biashara. Nb; kitu ninachokitegemea kutoka kwangu kama mtaji ni UAMINIFU &...
Je mwalimu wa cheti aliehitimu masomo 2019 na akapata GPA ya 3.3 na bado hajaajiliwa anaweza kujiunga na masomo ya diploma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada swali la 14,15 & 16 wadau mada ni uwiano mchanganyiko. Kwa wale wenye vitabu vya JIZATITI KATIKA HISABATI(mwandishi Hamza F. Napunda) maswali haya yanapatikana ukurasa wa 19. Majibu yake yapo tatizo njia sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.