Aisha salum
New Member
- Mar 6, 2020
- 3
- 1
Samahani naomba kuuliza ni faida gani mtu anapata akienda advance na hasara gani anapata asipoenda advance?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ni Nina umri wa miaka 40 sijawahi kusoma shule ya secondary, sasa nasoma qt,nataka nipate mwalimu wa masomo ya hisabati ya form one na two,awe anakuja kunifundisha home then tuelewane,Mimi nakaa kunduchi,karibu na kituo cha mtongani,MTU ambaye yuko karibu na huku anicheki,kwa kuacha namba ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba usaidiz serikal inaweza kukuchagua kama chemia c physics d math c pcm kujiuga na kidato cha tanoWakuu katika kupitia nyuzi mbalimbali humu nimegundua hili jukwaa lina wanafunzi wengi sana hasa kidato cha 5 au chini ya hapo pia wanavyuo
Hivyo basi ni vyema walimu na watu wenye uzoefu tuwasaidie hawa watu ili wafanye vyema ktk masomo yao kwa wenye nia njema, jukwaa hili ni muhimu na tukilitumia tukainua ufaulu wa ndugu zetu tutaongeza Tanzania njema yenye wasomi bora.
karibuni, mimi tupia swali la linguistics/language 1&2 (kwa A-level) au english kwa O - level na Geography.
Walimu wazuri na Wataalam wengine watajitajitokeza ukirusha swali lolote.
Lita ni ujazo ambapo kilo ni uzito. Havilinganishwi.SWALI HESABU;;;
Hivi lita moja ni sawa na kilo ngapi? na tunaconverte vipi?
Kwanza kabsa mwanafunzi utatakiwa uelezee nn maana ya fasihi then utuelezee maana ya siasa jamii baadae kwa kusimamia hoja ya siasa hubadilika kutokana namabadiliko ya kijamii utaeleza ni vipi fasihi simulizi ya Tanzania zimebadilika kutokana na siasa za tanzania.mfano kipindi Cha mfumo wa chama kimoja kulikuwa na nyimbo nyingi zilizokuwa zinasifu na kuelezea mfumo huo,kikaja kipindi Cha mapinduzi watunzi wengi wa fasihi simulizi walitunga kazi zao kuelezea faida na hasara za mapinduzi,saizi tuko kwenye siasa za vyama vingi watunzi wengi wanatunga kazi zao wakilenga kutangaza vyama vyao tahadhari;ukipewa maswali ya kichagua hili achana naloUkizingatia mabadiliko ya kisiasa nchini Tanzania, fafanua jinsi Fasihi simulizi isivyoweza kujitenga na siasa jamii
Kataa hoja hii halafu taja dhimaza fasihiNilikutana na hili swali nikapita mbio
"Fasihi simulizi ni sawa na kaptula iliyokosa mifuko" jadiri ukakasi wa dai hili
Twende kazi we mtaalamu
Natamani nikujibu ila ntakujibu kwa kiswahili,OK. what are the challenges of translation
with examples identify principles of translation
ntashukuru kwa majibu
1) neno kuwa na maana zaidi ya moja,mfn mbuzi,Mama,kaaNaombeni msaada wa swal hili, mambo yanayosababisha utata katika lugha
Unawatega waalimu swali Lina solution unalileta kufanya nini hapa uo ni unafiki na kuwatega watu. Leta swali lililoshondikana .
Hapa inabidi tutengeneze relationship ya Lita na kilogram . Haiwezekani kusiwe na kipimoLita ni ujazo ambapo kilo ni uzito. Havilinganishwi.
Advance ni hasara hasa ukifeliSamahani naomba kuuliza ni faida gani mtu anapata akienda advance na hasara gani anapata asipoenda advance?
Sent using Jamii Forums mobile app
Debe la pamba aliyovuna mkulima anakwenda kuuza lina uzito tofauti na debe la zege inayokwenda kujengewa msingi wa nyumba. Pamoja na kwamba ujazo ni ule ule wa debe, uzito ni tofauti.Hapa inabidi tutengeneze relationship ya Lita na kilogram . Haiwezekani kusiwe na kipimo
Sent using Jamii Forums mobile app
Relationship itasaidia kufanya conservation yaniDebe la pamba aliyovuna mkulima anakwenda kuuza lina uzito tofauti na debe la zege inayokwenda kujengewa msingi wa nyumba. Pamoja na kwamba ujazo ni ule ule wa debe, uzito ni tofauti.
No biology