Anatafuta kazi ya duka,shamba,biashara n.k

oby7

Member
Dec 30, 2019
9
4
Hbr wana Jf, natafuta kazi ya aina yoyote ile halali kwa malipo ya day kwa maelewano maalum. Kazi inaweza kuwa ya kuuza duka, kusimamia shamba, kusimamia mifugo, kulinda nyumba ambayo ipo kwenye ujenzi nahata kusimamia biashara. Nb; kitu ninachokitegemea kutoka kwangu kama mtaji ni UAMINIFU & HESHIMA. kwa mawasiliano tuwasiliane kwa 0621001499

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weka wasifu wako!
Hbr wana Jf, natafuta kazi ya aina yoyote ile halali kwa malipo ya day kwa maelewano maalum. Kazi inaweza kuwa ya kuuza duka, kusimamia shamba, kusimamia mifugo, kulinda nyumba ambayo ipo kwenye ujenzi nahata kusimamia biashara. Nb; kitu ninachokitegemea kutoka kwangu kama mtaji ni UAMINIFU & HESHIMA. kwa mawasiliano tuwasiliane kwa 0621001499

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom