DAWASA KINYEREZI WAHUJUMU UCHUMI…
Hii ni habari ni inayopaswa kuchukuliwa na kufanyiwa kazi na Mamlaka nyingine za nchi kwa haraka sana.
Ni hivi, kutokana na uhitaji wa maji kuongezeka na watumiaji kuwa wengi, Serikali iliamua kuanzisha ofisi nyingine kwa upande wa Tabata kwa kufungua ofisi ya...
Mradi huo uliozinduliwa na Rais Mstaafu wa awamu ya nne,Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete,umegharimu zaidi ya shilingi Trilioni 1.6.
Kutokana na namna ilivyoendeshwa tenda hadi kupatikana kampuni ya Sumitomo ya nchini Japan,baadhi ya wanasiasa walipiga kelele kuhusu gharama kubwa kuliko mahitaji halisi...
Jina la Mr. Zero alipewa na wapinzani, sasa Mr. Zero huyo huyo anakabidhiwa hatamu za chama... Ama hakika ukikosa ukipendacho penda ulichonacho; kwa maana hakuna namna
BABA MWENYE NYUMBA TUMAINI LA WANAKAYA.
Mara baada ya kuingia hapa nyumbani ameweza kufunga mianya ya matumizi yasiyo ya lazima na kuziba mianya mikubwa ya ukwepaji kodi.
Baba mwenye nyumba ameunda baraza dogo la mawaziri lenye mawaziri 19 na manaibu 15. Ikilinganishwa na awamu iliyopita...
Na. Thadei Ole Mushi.
Matokeo ya mkoa wa Daresalam yananifurahisha kuliko yanavyowafurahisha UKAWA. Wamekuwa wakiyashangilia ila wanashindwa kuyaangalia kwa jicho la kitafiti. Ngoja niwaonyeshe kitu hapa.
Ipo hivi Mkoa wa Daresalam ndio mkoa uliokuwa na wapiga kura wengi kuliko mikoa yote...
Tusipoelemea upande wowote tutakuwa wawazi kuwa matusi yanatolewa na pande zote za vyama vyote vya siasa. Tukumbushane tu jinsi watu walivyomtukana Rais Kikwete matusi ya nguoni na hadharani wakati yupo Marekani anafanyiwa upasuaji wa tezi dume.
Jambo la msingi siasa za udhalilishaji hazifai...
Aliyempiga dole Mama Lowassa ni kijana wa CHADEMA, tangu Lowassa aje CHADEMA kuna wanachama wenzetu wanafanya kila wawezalo ili wamuangushe Lowassa. Hii siyo adabu hata kidogo, yule ni sawa na Mama zetu wengine tunaoishi nao kwenye jamii zetu.
Kama humtaki Lowassa bora ukae kimya au ukimbie...
Na January Makamba
Tarehe 25 mwezi huu Oktoba, Watanzania watapiga kura kumchagua rais wao wa tano, wabunge na madiwani. Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu umekuwa na msisimko mkubwa zaidi tangu kuanzishwa kwa mfumo wa siasa za vyama vingi mwaka 1995. Mengi yamendikwa kuhusu uchaguzi huu, hususan...
Viongozi wenu watakuwa wanakula bata nje ya nchi wakati nyinyi mnaugulia maumivu hospitali, sembuse hospitali zenyewe hazina dawa ndo mtaozeana tu mwisho mkatwe miguu
Unajua wazi kuwa Kagame anachochea vita vya Congo DRC ili aibe madini kwajili ya kukuza uchumi wake lakini unajifanya kama huoni vile
Unajua wazi kuwa Lowasa na Kagame wanafanya njama ili ukawa iingie madarakani ili bandari ya Dar ibinafsishwe kwa Kagame lakini unajifanya husikii
Unajua wazi...
Mamvi hatutakii mema na nchi yetu, wameshapanga kugawana bandari, gesi migodi, vitalu vya hifadhi ya taifa na misitu ilojaa neema. Badala ya kuipigania nchi yao wao wanapigania matumbo yao.
Huyu tumuepuke kama alivyoepukwa na mkuu wa kaya Mzee Nyerere
Acheni upuuzi nyie watu. Sumaye alikuwa mbunge wa Hanang kwa miaka 15. Lowassa alikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM na Kamati kuu kwa zaidi ya miaka kumi. Wote wazeee wana miaka sitini na kitu. Wamelelewa CCM. Utakuwa mwenye AKILI NDOGO sana kama ukiamini mabadiliko yataletwa na Wazee MAKAPI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.