Umeoa au umeolewa? Wewe maamuzi yanatoka kwa mwanamke??? We vipi untuaibisha na uzi wako huu bhana mwanaume anatakiwa kusimama kama mwanaume ni amri moja sasa vitu vidogo kama hivi unamuogopa mwanamke hakuna ndoa hapo
Kuzika mbwa na Camera/video ni ujumbe mkubwa sana kwa watawala madikteta,wauaji,wanaotumia pesa zetu hovyo Kwa ajiri ya Kuua upinzani huku wakisahau kuwa wapo hapo kwa muda fulani tu na kamwe hawawezi kuishi milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.