Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,535
- 25,833
Unangoja Magufuli akutengee ugali mezani? Ha ha ha, utangoja sana.haswaaaaaa mi simuamini wala sifurahishwi na utendaji wa jpm i dont trust him naona tu kama anaendelea kupiga pushap hakuna kinachoendelea huku mitaani lakin kila uchwao tunasikia oooh sijui uchumi umepanda sijui blabla wakati mambo magumu biashara hakuna makampuni hayainuki zaid yanakufa raia hawana kazi woyeeeeeeeee itanichukua miaka 15 kuelewa huyu baba aliifanyia nini TANZANIA HIYO HAITABADILIKA KWANGU LABDA MPAKA NIONEE MABADILIKO YA KWELI LAKINI KAMA NI KUSIMAMA MAJUKWAANI KUTUAMBIA KAJENGA VIWANDO BLABLA WAKATI HATUVIONI NEVER NIKIWA DUNIA HII LABDA HUKO KWA SIR GOD