Mkuu sijui namna ya kulink but tembelea uzi aliouanzisha [HASHTAG]#yericko nyerere[/HASHTAG] Soma comment ya [HASHTAG]#daby[/HASHTAG]Link tafadhali, ili kujiridhisha na kufunga mjadala.
Mkuu sijui namna ya kulink but tembelea uzi aliouanzisha [HASHTAG]#yericko nyerere[/HASHTAG] Soma comment ya [HASHTAG]#daby[/HASHTAG]
ameshakubuhu dhambi
kutubu hataki ameagiza policcm wakamuhuoji mchungaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Magufuli anapenda sifa kupita maelezo.
Mkimuhakikishia kuwa akisaula hadharani mtamsifi kwa nderemo na vifijo ninauhakika atazivulia jukwaani.
Sawa Sawa Mkuu nimeshaiona fake newsNi 'Fake News' ndugu yangu Sadock Njinginya. Na tayari gazeti la Mwananchi limekosolewa vikali kwa kurukia habari hiyo bila ya kuifanyia utafiti. Kama hiyo haitoshi, link iliyo na video kila uki-click inakupa ujumbe...'video unavailable'.