NZIRIYE English isn't my mother tongue.Again i'm a human being and can do mistakes like others.HOW about you? Do you think your are the best Englishman in the world? NO! You just concetrate on developmental issues and not like that one you have commented.
I'm very interested with It.The only problem is that i'm still studying-A finalist pursuing a bachelor of arts in project planning management and community development(BA PPM&CD) University of Dodoma.I Would like to know if the programme will be on progress till jully when i will already have...
Ubaguz huu ni wa hali ya juu.Mnatufanya tuwe na mashaka na chuo chenu.Inaelekea mnasambaza fikra za udin,ukabila urangi umkoa uwilaya,ukijiji,ufamilia na up.u.u.zi.in general.
Heshma yako mkuu mwenye wazo.ni wazo zuri,ila sishauri kuwa na chama maana kitahitaji mwenyekiti na katibu wasio na ajira,kuwalipa inshu.pawepo na kongamano au club le/yenye lengo hilo.Ila wenye mwenyewe shirikiana na wataalamu wengine muandae proposal juu ya kongamano hilo ili kupata ufadhili.
Pamoja na kutajwa kwao,watanzania tusiridhike kuwafahamu na wengine kuishia kuwacheka tu.Furaha yetu ikamilike kwa kuona haki inatendeka yaani wanachukuliwa hatua stahiki.
Sijui tunaenda wapi!Polisi wanatakiwa kulinda raia,lakin siku hiz wanaua watu wasiobeba hata jiwe.daaah!ngoja tusubir kama kwel hakitatendeka au ule usemi usemao"DUNIANI HAMNA HAKI BALI MBINGUNI"Utajidhihirisha.Apumzike kwa Aman Amina.
Sijui tunaenda wapi!Polisi wanatakiwa kulinda raia,lakin siku hiz wanaua watu wasiobeba hata jiwe.daaah!ngoja tusubir kama kwel hakitatendeka au ule usemi usemao"DUNIANI HAMNA HAKI BALI MBINGUNI"Utajidhihirisha.Apumzike kwa Aman Amina.
Wanauamsho nina swali kwenu,endapo litajibiwa kiusahihi nitawaona mna sababu za msingi.Serikali ya jamhuri ya muungano ya Tanzania inaamin kuwa Mungu yupo na watu wake wana njia(Dini) tofautitofauti za kumwamin na kumfikia Mungu,lakini haina dini ndiyo maana suala la dini si moja ya masuala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.