Recent content by Nzambe

  1. N

    GE2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

    Mungu bariki CHADEMA, BARIKI TANZANIA. AMINA
  2. N

    Dkt. Kalemani tunaomba imulike TANESCO jiji la Mbeya rushwa imezidi kuunganishiwa umeme

    kalemam ni moja ya wabunge hovyo kbs kw wananchi wa jimbo lake, sema tu anabebwa, ila 2025 usirud
  3. N

    Rais Magufuli unatukosea sana watanzania

    Maguffuli na wapuuzi wote wa ccm hawafai. utekaji, kubambikiza kesi, mauaji, ajira hakun, bei juu, maisha magum zaid kw raia, udikiteta uchwara, vyanzo vya mapato kupungua, ni fisadi T1.5. mzushi na muongo muongo rejea Tz ya viwanda, mil 50. mwiz pesa za rambirambi ntatud kuongezea, i
  4. N

    Jaji Samatta: Tumeshuhudia ongezeko la uvunjifu wa Haki za Binadamu hivi sasa kuliko vipindi vingine vyote

    Magu moyo wangu ukishamkataa. basi tu. Nchi ishakuw ya kinafiki kuliko, ukisimamia haki unahatarish maish yako. aibu sana, yaan watu wanaangalia Magu kachek ndio nao wacheke, Magu kasem hivi nao hivyo hivyo... shame upon
  5. N

    GE2020 NEC yamuita Tundu Lissu kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Taifa

    usalama wake ulindwe huko kuanzia sumu za kibayolojia, risasi nk. N YY LISSU. MAGU KWA HUJUMA ULIZOWAFANYIA WATANZANIA HUKU UKISHANGILIWA KWA AKILI YAKO MBOVU UKAHISI UNAPENDWA. I HATE YOU.
  6. N

    Siku ya tatu hii Alikiba kashindwa kung'ara YouTube, tatizo nini?

    binafsi nimemdisi, apeleke njaa zake huko kw kijani, kama halipwi. atulie ajiheshim. tunaompandish ndio ss, hlf kaenda kuzingua kule kweny makofia ya mgawo. shenzy type
  7. N

    Gwajima ahadi hii iliishia wapi?

    naomba kufahamishwa, ile chopa yake iliyopigwa chata za KANISA LA UFUFUO NA UZIMA. bado ipo?
  8. N

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    naomba kukujuza yafuatayo:- 1.Makumi na makumi ya vijana wamepigwa risasi na kuuaw ziwa victoria, wakiw ktk hrtk za uvuvi, kw kisingizio kuw wamevuk na kuingia hifadhi ya rubondo, badal ya kukamatwa na kufikishw mahakaman. 2. Kampeni za Jiwe kw chato, wenye vibanda, wafanyabiashar ndogo ndog na...
  9. N

    Asante Mungu kwa kutupatia Tundu Lissu

    siachi kumuombea Lissu, pmj na chadema kwa ujumla. pia ninaendlea kutoa michango kama kawaida, AMINA.
  10. N

    From Muriet Arusha with Love. - Mrisho Gambo

    Arusha sio washamba kudanganyik na umagufool
Back
Top Bottom