Nakuunga mkono mkuu watanzania wengi wanaendesha kwa mihemuko na si kudadisi na kutafakari leo utasikia msiba kuongea utumbo na mijinga mingi inashangilia so kwa jamii hii washindwe kumpa kura kwa kiki pia hata asitimue atoe tuu ajira kamarobo tatu uone kaziii
kama kina bashite ndugai na wangine kariba hii ndio viongozi basi tutegemee kutumbukia kwenye korongo la ajabu Sana'a manana mihemuko ni mingi sana kipindi hiki
Kabla neymar hajaondoka barc walikuwa wanamtaka countinho kwa hyo sio kwa ajiri ya neymar bali n kwa ajiri ya inesta pia wanaangalia mfumo wao ndio maana poulinho alinunuliwa hali kuna wachezaji wenye uwezo mkubwa na bei na umri chin yake lakn anaft na mfumo wao
Naona hujui mambo wewe kati ya awamu ya nne na awamu ya tano ni wapi wanufaika wengi wa mkopo walinufaika?Vipi unaunga mkono kuzui bunge live mkutano ya baba jesca live huku akiongea uongo uliotukuka? Mfano sukari 1kg kwa 5000 wapi na mwaka gan?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.