caleb 4G
Member
- Feb 20, 2017
- 83
- 76
Habari zenu wadau wa soka humu ndani!
Kuna kitu nafikiria je nyie mnakionaje? Hata kama hakiwezi kuwashawish wahusika,
Barcelona wamekua wakimtaka Philip coutinho wa Liverpool bila mafanikio mpaka sasa, ktokana na Liverpool kukataa offer yao.
Inaonekana Barcelona wanatafta kiungo mshambuliaji ili kuzipa nafasi ya Neymar.
Lakini england kna watu wanauwezo hata zaidi ya coutinho, mfano nzuri Edan hazard ambae pia ni kiungo mshambuliaji.
Je kwanini nguv wanayitumia kumuwinda coutinho wasiihamishie kwa hazard!?
Maoni wadau.
Kuna kitu nafikiria je nyie mnakionaje? Hata kama hakiwezi kuwashawish wahusika,
Barcelona wamekua wakimtaka Philip coutinho wa Liverpool bila mafanikio mpaka sasa, ktokana na Liverpool kukataa offer yao.
Inaonekana Barcelona wanatafta kiungo mshambuliaji ili kuzipa nafasi ya Neymar.
Lakini england kna watu wanauwezo hata zaidi ya coutinho, mfano nzuri Edan hazard ambae pia ni kiungo mshambuliaji.
Je kwanini nguv wanayitumia kumuwinda coutinho wasiihamishie kwa hazard!?
Maoni wadau.