Kwa wale wa Ununio boys kulikuwa na siku ya bendera nyekundu. Hapa panataka ukomavu wa vidore kwa Ajili ya kupakuwa wali kwa mikono zamaaaaaaniiii...... Sanaaaaa!!!
Swaaadaktaaa kabsaa kijana,hakuna mkulima anajituma akae alalamikie serikali hii ya sasa ilaa hawaaa waliokaa kutegemea siasa ndio ishii yao imekula kwao,na watakiona kwelikweli miaka kumi hiii.........,
Kule kwenye NEC wamepitisha kuwa hakuna mchujo baada yake watakuhukumu wananchi unaowaongoza kwa kukutua na kumpa wa upinzani,ikicheza vibaya na wapiga kura wako,ingekuwa powaa sana kma na wapizani wangecopy hii kitu.
Tayari imetifishwa hata pakisemwa nini haitakuja kubadili ukweri,kuhusu kuongezewa deni sawaa tuu.kutoka 14 hadi 25 haya ndio mapambano ya kukomboa hili taifa,tulikuwa na serikali nyonge na sikivu lakini bado tulilipa madeni kwaiyo tugonge glass maisha yaenderee.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.