Habari ya usiku wandugu,
Jamani mimi nimepatwa tatizo leo, kuna binti anafanya kazi na mdogo wangu leo nilienda kumsalimia dogo nikamkuta yupo na huyo mwenzie nae ni muajiriwa wa hapo. Huyo binti sasa ndio tatizo kumbe ni lesbian, yani kanizoea gafla mara dada nakupenda una rangi nzuri mara...
Yan huna hata haya unaona alichomtendea malaika huyo ni haki? Huo ni upuuzi, cdhan kma wew ni great thinker! Hata kma boss kamuudhi ndo amdhuru mtoto??? haiingii akilini. Unajua mtoto wangu ameniumaje? Me mwenyew kumpga mwanangu naogopa af just a maid aje anifanyie hivyo mwanangu??? Mfyuuu...
Kwani tuliwaomba wailete? Wanajishauua kma kitu gani vile!!!! Hayo mambo ya kununua kitabu kama ulijua yapo ulileta humu story yanini? Mnajishaua kuanzsha story ikinoga mnaanza kunata! Ebu mtutokee huko! Watu tushalewa na utamu gafla mnaukatisha! I hate u all mlioleta hadith yenu humu!
Habari wanajamvi, nadhani mambo yanaenda vyema.
Leo nimepata ugeni mdogo wangu mtoto wa mama mdogo kaja kunitembelea nyumbani kwangu.
Kanieleza tatizo lake nimeshndwa jinsi ya kumsaidia nikaona nijaribu kushare nanyi nipate chochote chakumsaidia.
Haya wandugu mkasa wenyewe upo hivi, bidada...
F kuna wanaume wengne hawajali hisia za wake zao. Mfano mnasex mara moja kwa mwez, kila ukmtega mwanaume hategeki ufanyeje,? Unakuta umezdiwa na pemben kuna kijana rijali anakusumbua anataka akupe linyama lake! Khaa chakutesekea nin? Unachepuka vizuri yey muache aendelee kujifanya anakubania...
Jaman hiyo kitu ni kweli msibishe, kuna jamaa yeye ni wakala wa mikoani ananunua figo, vizazi vya wanawake na watoto wadogo. Leo maeneo ya mbezi kwa msuguri kuna mtoto alitekwa tangu juzi amebakwa amechinjwa then wameileta maiti nyumbani kwao. Huyo jamaa ni mwenyej na mzaliwa wa chimala mbeya...
Eeh!!! Thanx wote jaman kwa ushauri na changamoto, hatimaye mdada kafanya maamuzi. Hayo yametokea jana baada ya kugundua kwamba huyo wazamani hawez kuwa kama mumewe, wamevumiliana mengi. So amemsamehe mumewe warudiane!!!
Nikwel usemacho ndugu, bt utata upo hivi, anampenda sana jamaa wa primary , na aliekuwa mumew ndo anataka watoto wasikose malezi ya baba na mama kwa pamoja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.