Sababu za kwa nini huwa tunachepuka

Sababu za kwa nini huwa tunachepuka

M wanawake wengi hawajui ile sababu za kuhitaji yani factors of demand, hasa ile ya "change in taste or fashion" unakuta mke wako kila kukicha ndo anazidi kuwa boya hajui kujibadilisha kuanzia mapigo kitandani, mavazi, uzungumzaji , mapishi kila kukicha yeye mambo Yale Yale . Ndo maana nachepuka na madem wengine kupata ladha tofauti na zile za mke wangu
 
M wanawake wengi hawajui ile sababu za kuhitaji yani factors of demand, hasa ile ya "change in taste or fashion" unakuta mke wako kila kukicha ndo anazidi kuwa boya hajui kujibadilisha kuanzia mapigo kitandani, mavazi, uzungumzaji , mapishi kila kukicha yeye mambo Yale Yale . Ndo maana nachepuka na madem wengine kupata ladha tofauti na zile za mke wangu

Mhhh Hulka yako tu hakuna lolote , wewe umebadilisha nini ???
 
F Ni tamaa tu za mwili na mioyo yetu pamoja na Kukosa hofu ya Mungu. Coz sidhani Kama michepuko ndo ipo perfect kuliko partners wetu. Ndo maana tunaona wanaume wanacheat wee hadi Kuhama Nyumba zao, but Mwisho wa siku wanarudi kwa wake zao. Kwani si alimuona mkewe Ana mapungufu, Amerudi kufanya nini sasa.??
Mwingine anacheat simply because Anataka tu kuifurahisha nafsi yake, ndo maana kuna wanaume Anakuwa tu na kimada na hata halali naye. Kwake, Ni Sifa tu kujulikana Kuwa yeye ndo anammiliki Mtu fulani

Kwa wanandoa if Unaona kuna mapungufu kwa mwenzako just vunja ukimya. Ongea na mwenzi wacko mwambie Mbona hivi, kulikoni.?? Au sipendi hiki na hiki, jirekebishe sehemu Fulani au fanya hivi na hivi. Naamini kusemezana kunasaidia mno
Kwa Akina sie tusio na ndoa basi tuwe wawazi kwa Wenzi wetu, kuna mapungufu tusemezane. Ukiona hakufai au umemchoka muache tu aende zake, don't deprive ur partner of the right of a committed relationship
 
F kuna wanaume wengne hawajali hisia za wake zao. Mfano mnasex mara moja kwa mwez, kila ukmtega mwanaume hategeki ufanyeje,? Unakuta umezdiwa na pemben kuna kijana rijali anakusumbua anataka akupe linyama lake! Khaa chakutesekea nin? Unachepuka vizuri yey muache aendelee kujifanya anakubania, unajipgia mechi za nje kwa raha zako!T_T
 
F Ni tamaa tu za mwili na mioyo yetu pamoja na Kukosa hofu ya Mungu. Coz sidhani Kama michepuko ndo iPo perfect kuliko partners wetu. Ndo maana tunaona wanaume wanacheat wee hadi Kuhama Nyumba zao, but Mwisho wa siku wanarudi kwa wake zao. Kwani si alimuona mkewe Ana mapungufu, Amerudi kufanya nini sasa.??
Mwingine anacheat simply because Anataka tu kuifurahisha nafsi yake, ndo maana kuna wanaume Anakuwa tu na kimada tu na hata halali naye. Kwake yes Ni Sifa tu kujulikana Kuwa yeye ndo
Kwa Akins sie tusio na ndoa basi tuwe wawazi kwa Wenzi wetu, kuna mapungufu tusemezane. Ukiona hakufai au umm hiki, muache tu amended zake, don't deprive ur partner of the right of a committed relationship
sago sana dada big up
 
sijasoma dada @FixedPoint lakini kwa summary uliyoitoa tu mimi binafsi nina haya ya kusema kuhusiana na swala hili:tunatoa sababau nyingi sana linapokuja swal hili,lakini yote hayo ni tisa kumi ni kukosekana kwa hofu ya kimungu jambo linalopelekea kuporomoka kwa maadaili kwa kasi ya ajabu kiasi cha kufikia kutafuta visababu kujastify maovu au matendo tunayoyafanya yasiyofaa ili tu kupunguza uzito wa kosa japo kwa kweli uzito kwa Mungu uko palepale na tunaupunguza uzito kwa wanadamu wenzetu tu.

100% umeua Blue @G, mbwe2 zingne ni kutafuta legitimacy. ya. illegitimacies. tuu!!
 
Last edited by a moderator:
We live in a materialistic World, we can't achieve anything real in a midst of materialism.
Kuna aina tatu za Upendo kwa Binadamu
1.Take take take......
2 Take and give.....
3.Give give give give......
Kama tukufikia hatua ya tatu tutashinda human nature.
True love got nothing to do with anything
 
Back
Top Bottom