penzi jipya lina raha yake jaman, embu aende kwa huyo kijana waanze maisha upya, huyu mumewe amekosa wa kumnyanyasa tena ndo mana anataka amrudie.... hata iweje nyumba ikiwa haina amani watoto hawataona thaman ya uwepo wao kwao
Eeh!!! Thanx wote jaman kwa ushauri na changamoto, hatimaye mdada kafanya maamuzi. Hayo yametokea jana baada ya kugundua kwamba huyo wazamani hawez kuwa kama mumewe, wamevumiliana mengi. So amemsamehe mumewe warudiane!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.