Recent content by nyoto

  1. N

    Errors in genesis

    Ungekuwepo wakat dunia inaumbwa ningekuelewa. Kile ambacho unaona kidunia principle kwa Mungu ni kinyume ukitaka kujua mwamini na uombe akuonyeshe majib ya maswali yako lakin sio kutumia principle za waumbwa
  2. N

    Errors in genesis

    Mungu Hachunguziki
  3. N

    Mke wangu amegundua baba yangu alimuua baba yake

    Pole sana. Ulifanya kosa kumficha toka mwanzo wa mahusiano yenu.
  4. N

    Polisi Mkoa wa Mara wavamia usiku huu na kumkamata mgombea wa CHADEMA

    Usiombe. Sikia kwa wenzio tu.
  5. N

    Polisi Mkoa wa Mara wavamia usiku huu na kumkamata mgombea wa CHADEMA

    Mwenye busara siku zote katika jambo kama hili atapenda ajue sababu ndipo aseme.
  6. N

    Tangu apate kazi kila siku ananiambia niko bussy, nifanyaje?

    Kuna uwezekano mkubwa mawasiliano amepeleka sehem nyingine.
  7. N

    Msimamo wetu sisi CHADEMA asilia

    Pamoja sana
  8. N

    Magufuli the icon that fits our Country situation.

    Magufuli rais ataondoa kila uozo na ana msimamo wa kubadili mfumo.
  9. N

    Magufuli the icon that fits our Country situation.

    Magufuli rais nyie pigeni kelele lakini huyo ndo rais wako ajae
  10. N

    Fredrick sumaye namkubali january makamba

    Magufuli rais awamu ya tano. Ukiwa itakufa baada 25 oct
  11. N

    Sema usikike: Kwanini utamchagua Dr. Magufuli au Edward Lowassa?

    Chaguo langu ni magufuli. Mimi si mtoto mdogo wa kuambiwa pilipili ni pipi nikakubali.
  12. N

    Lowassa katika kashfa nyingine

    Walitaka waambiwe lowasa kashinda ndo waliridhike.
  13. N

    Maneno Machache Ujumbe Mzito: Kukataliwa Treni la Lowassa Kwaja, Abiria Wajiandae

    Kama ukawa leo wanagombania majimbo kwenye uwaziri itakuwaje? Wasubiri miaka mitano ijayo wajipange kwanza.
  14. N

    Hivi na halali kumuita Lowasa fisadi?

    Kwa nini hujiulizi walioanza kumuita lowasa fisadi Ni akina nani mpaka akajiuzulu uwaziri mkuu halaf ndo ushangae wengine kumuita fisadi.
Back
Top Bottom