Punguza presha we subiria ajira utaipata tu kabla mwaka haujaisha.! je ungesoma kozi nyingine za kutafuta kazi mwenyewe ungekuaje.? we subiria ukiona hazitangazwi ujue muda haujafika muda ukifika serikali itatangaza kwamba ajira zimetoka tayari., tatizo vijana tunakuwa na haraka sana ya maisha.
Kwa upeo wangu., hili bifu la hawa watu wawili linakuzwa ili kumtafutia jina Ali Kiba ambaye alishapotea kwny ramani ya muziki.! naamini kwa wakati huu Diamond ni bora zaidi na hastahili kulinganishwa na Ali Kiba.!
Kaka tangazo lako lilikuwa linataka uzoefu miaka 5 na mimi ni fresh from college.., kuhusu PM wananiambia mpakaniwe na post 5 Kaka na mm ni mpya humu., labda unitumie namba yako nikucheki Kaka
Husika na kichwa hapo juu, mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 24, nimemaliza Bachelor ya Accounting and Finance mwaka jana., naomba msaada wenu wakuu moja wapo kati ya hayo niliyoainisha.! ni katika company, bank or organization yeyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.