nyotayao90
Member
- Nov 19, 2014
- 18
- 3
Wadau,
naombeni mumshauri mdogo wangu anayefanyakazi bandari amepata kazi TRA.
Kilichofanya aombe kazi bandari ni baada ya Mwakyembe kuwa waziri wa uchukuzi mambo yalikuwa mabaya sana bandarini ila hivi sasa Mwakyembe kaondolewa. Je, abaki bandari au aende tu TRA?
Namshauri arudi kijijini kulima