Mkuu ndomyana leka owotongolo
Yanga amebakiza mechi 4 ambazo zidi ya Mgambo JKT,Ruvu JKT,Coast Union na wakalia LIBOLO FC(Simba)
hapo akishinda mbili tu tayari katangaza ubingwa:msela:
Mkuu Makoye Matale mechi ya leo kuwa nzuri au mbaya ilitazamiwa matokeo ya ya jana,kama Yanga ingefungwa jana au droo basi leo Simba angerushu LIBOLO la Azam limpelembe ili kuikomoa zaidi Yanga,sasa ushindi wa jana kwa Yanga labda uwifi leo hautakuwepo ili Simba alinde apunguze mgogoro.But it's...
Baada ya jana kushuudia mchezo na Yanga kuibuka na ushindi mnono wa goli 3 - 0 dhidi ya Oljoro JKT,leo tena jioni tutashuhudia mtu na wifi wakimenyana kinafiki uwanja wa Taifa
mara nyingi sana mechi ya Simba na Azam huwa inapoteza radha kabisa kutokana na kucheza kiwifi wifi :msela:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.