Pole
sana. Jaribu kuulizia intermediary bank yao ni ipi? Yawezekana ni
Commerzbank ambao ndio nimesikia wameripoti tatizo ktk kufanya transfer
hivyo benki zetu zinazopitisha hela huko zimekwamishwa kwa namna moja au
nyingine. Kama sio hiyo basi endelea kufuatilia kwenye benki yako hadi...
Habarini wanajamvi,
Nahitaji fundi wa kushona nguo kwa kutumia cherehani (fundi cherehani/tailor), awe amehitimu mafunzo yake vizuri japo sitaangalia vyeti bali uwezo wake katika kushona nguo yenye kiwango kizuri, pia awe mbunifu isiwe kila kitu aangalizie desa mahali. Nitamuhitaji fundi huyu...
Umenena kweli kabisa mkuu, golikipa ni yule anayekaa tu na kusubiri kuletewa na kufanyiwa kila kitu anasubiri kudaka tu! Hivyo sio vyema kumuita mwanamke tena mkeo 'golikipa' wakati anammka mapema kuliko wewe na kukuandalia vyote unavyohitaji, pia ukirudi unakuta mambo yote yako sawa! Mke daima...
wewe acha tu, wakati mwingine hatuendi kazini kwaajili ya mshahara tu, sababu nyingine ni 'status'! wengi tunadhani nikionekana nimeajiriwa sehemu fulani basi mimi ni tofauti na yule anayekaa nyumbani, anaonekana elimu yake haijamsadia, mimi nimesoma lazima nitumie elimu yangu, n.k n.k haya...
Well said, ni utandawazi ndio unatufanya wanawake tuingie kwenye mambo mengine kibao ambaya wazee wetu zamani hawakuwa wakiyafanya, walitulea vizuri sana na tuliridhika na kipato. Watoto wetu wanapata tabu sana, wanalelewa na housegirls wasio na uzoefu wowote wanafanya lolote ili mradi mwajiri...
Habari wadau? Natumaini mna enjoy weekend yenu vizuri.
Kwa muda mrefu sana ninatafakari nafasi yangu kama mama katika familia, naona umuhimu wa mama kuwepo nyumbani muda mwingi ili kuangalia mambo yanavyokwenda hapo nyumbani yahusuyo afya ya watoto, mume, chakula, usafi wa nyumba n.k na...
Pole sana kwa matatizo hayo, endelea na utaratibu huo huo wala usimpe nafasi huyo baba ya kukuambia lolote aliwazalo mkiwa peke yenu. Muda wote kama ni kuongea hakikisha na mama anakuwepo ili kuzuia mazingira hatarishi, ila usionyeshe dalili yoyote kama umeshtukia kuwa nia yake siyo nzuri.
Ila...
Kama hauko commited kwa mwanaume mwingine yoyote (pamoja na huyo uliyezaa nae mtoto), basi usiumie we jaribu kupata mawasiliano yake then ndio mpange mtaonana vipi mfahamiane zaidi na kuwa marafiki. Ukishaongea nae ndio utajua kama yuko single au vipi, tabia zake n.k na pia utajua kama nae...
Marafiki wa namna hiyo ni wa kuwapotezea tu waendelee na ya kwao na wewe ushike yako. Nakumbuka nilipokuwa chuo kulikuwa na makundi mbalimbali, wale mabest wachache waliokuwa wanajiona wako juu walijitenga kabisa hata kimasomo hawatushirikishi, matokeo yake hata sie tukafaulu na Mungu si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.