Recent content by Nyleptha

  1. Nyleptha

    Nimetuma fedha kwenda benki ya Tanzania na zimepotea!

    Pole sana. Jaribu kuulizia intermediary bank yao ni ipi? Yawezekana ni Commerzbank ambao ndio nimesikia wameripoti tatizo ktk kufanya transfer hivyo benki zetu zinazopitisha hela huko zimekwamishwa kwa namna moja au nyingine. Kama sio hiyo basi endelea kufuatilia kwenye benki yako hadi...
  2. Nyleptha

    Natafunda fundi cherehani

    Asante sana, Mungu akubariki, sikupata muda wa ku-reply mapema.
  3. Nyleptha

    Natafunda fundi cherehani

    Habarini wanajamvi, Nahitaji fundi wa kushona nguo kwa kutumia cherehani (fundi cherehani/tailor), awe amehitimu mafunzo yake vizuri japo sitaangalia vyeti bali uwezo wake katika kushona nguo yenye kiwango kizuri, pia awe mbunifu isiwe kila kitu aangalizie desa mahali. Nitamuhitaji fundi huyu...
  4. Nyleptha

    Goal Keeper rules...

    Umenena kweli kabisa mkuu, golikipa ni yule anayekaa tu na kusubiri kuletewa na kufanyiwa kila kitu anasubiri kudaka tu! Hivyo sio vyema kumuita mwanamke tena mkeo 'golikipa' wakati anammka mapema kuliko wewe na kukuandalia vyote unavyohitaji, pia ukirudi unakuta mambo yote yako sawa! Mke daima...
  5. Nyleptha

    Natafuta kazi ya nursery school

    ungependa pia kufundisha watoto private lessons?unahitaji kulipwa sh. ngapi kwa private lessons kama uko tayari?
  6. Nyleptha

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    I like ur best ideas!
  7. Nyleptha

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    wewe acha tu, wakati mwingine hatuendi kazini kwaajili ya mshahara tu, sababu nyingine ni 'status'! wengi tunadhani nikionekana nimeajiriwa sehemu fulani basi mimi ni tofauti na yule anayekaa nyumbani, anaonekana elimu yake haijamsadia, mimi nimesoma lazima nitumie elimu yangu, n.k n.k haya...
  8. Nyleptha

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    Well said, ni utandawazi ndio unatufanya wanawake tuingie kwenye mambo mengine kibao ambaya wazee wetu zamani hawakuwa wakiyafanya, walitulea vizuri sana na tuliridhika na kipato. Watoto wetu wanapata tabu sana, wanalelewa na housegirls wasio na uzoefu wowote wanafanya lolote ili mradi mwajiri...
  9. Nyleptha

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    Nakubaliana nawe. Kwa hiyo wewe ungependelea wife asimame upande upi?
  10. Nyleptha

    Mke, Mama na Muajiriwa - Unashika lipi?

    Habari wadau? Natumaini mna enjoy weekend yenu vizuri. Kwa muda mrefu sana ninatafakari nafasi yangu kama mama katika familia, naona umuhimu wa mama kuwepo nyumbani muda mwingi ili kuangalia mambo yanavyokwenda hapo nyumbani yahusuyo afya ya watoto, mume, chakula, usafi wa nyumba n.k na...
  11. Nyleptha

    Baba Mwenye Nyumba ana maana gani katika hili?

    Pole sana kwa matatizo hayo, endelea na utaratibu huo huo wala usimpe nafasi huyo baba ya kukuambia lolote aliwazalo mkiwa peke yenu. Muda wote kama ni kuongea hakikisha na mama anakuwepo ili kuzuia mazingira hatarishi, ila usionyeshe dalili yoyote kama umeshtukia kuwa nia yake siyo nzuri. Ila...
  12. Nyleptha

    msaada sitaki kufa na tai shingoni!

    Kama hauko commited kwa mwanaume mwingine yoyote (pamoja na huyo uliyezaa nae mtoto), basi usiumie we jaribu kupata mawasiliano yake then ndio mpange mtaonana vipi mfahamiane zaidi na kuwa marafiki. Ukishaongea nae ndio utajua kama yuko single au vipi, tabia zake n.k na pia utajua kama nae...
  13. Nyleptha

    Rafki Zako Vipenzi Wanapogeuka Your Worst Nightmare!!!!!!

    Marafiki wa namna hiyo ni wa kuwapotezea tu waendelee na ya kwao na wewe ushike yako. Nakumbuka nilipokuwa chuo kulikuwa na makundi mbalimbali, wale mabest wachache waliokuwa wanajiona wako juu walijitenga kabisa hata kimasomo hawatushirikishi, matokeo yake hata sie tukafaulu na Mungu si...
  14. Nyleptha

    Cheka unenepe bwana ahaa

    manini hayo yalikuwa wazi?:biggrin:
Back
Top Bottom