Natafunda fundi cherehani

Natafunda fundi cherehani

Nyleptha

Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
69
Reaction score
47
Habarini wanajamvi,
Nahitaji fundi wa kushona nguo kwa kutumia cherehani (fundi cherehani/tailor), awe amehitimu mafunzo yake vizuri japo sitaangalia vyeti bali uwezo wake katika kushona nguo yenye kiwango kizuri, pia awe mbunifu isiwe kila kitu aangalizie desa mahali. Nitamuhitaji fundi huyu kwa kazi maalumu kwamba anapofanya kazi yangu asiwe na viporo vya mtu mwingine, na atalipwa siku hiyo hiyo kuendana na kazi aliyokamilisha. Kwa fundi mpya aliyehitimu akiwa hana vifaa atapewa vifaa vyote ambavyo ni bure wala hatakatwa ktk malipo yake.
Kama una ndugu au rafiki unamfahamu tafadhali nitumie pm ili tupeane mawasiliano.
NB: Nahitaji fundi aliyepo dar es salaam.
 
mtafute huyu.atakusaidia sana.anaitwa Rahel Mbembati..0762 970 160.mwambie mimi boniface nimekupa namba yake.utaifurahia kazi yake
Habarini wanajamvi,
Nahitaji fundi wa kushona nguo kwa kutumia cherehani (fundi
cherehani/tailor), awe amehitimu mafunzo yake vizuri japo sitaangalia
vyeti bali uwezo wake katika kushona nguo yenye kiwango kizuri, pia awe
mbunifu isiwe kila kitu aangalizie desa mahali. Nitamuhitaji fundi huyu
kwa kazi maalumu kwamba anapofanya kazi yangu asiwe na viporo vya mtu
mwingine, na atalipwa siku hiyo hiyo kuendana na kazi aliyokamilisha.
Kwa fundi mpya aliyehitimu akiwa hana vifaa atapewa vifaa vyote ambavyo
ni bure wala hatakatwa ktk malipo yake.
Kama una ndugu au rafiki unamfahamu tafadhali nitumie pm ili tupeane
mawasiliano.
NB: Nahitaji fundi aliyepo dar es salaam.
 
mtafute huyu.atakusaidia sana.anaitwa Rahel Mbembati..0762 970 160.mwambie mimi boniface nimekupa namba yake.utaifurahia kazi yake

Asante sana, Mungu akubariki, sikupata muda wa ku-reply mapema.
 
Habarini wanajamvi,
Nahitaji fundi wa kushona nguo kwa kutumia cherehani (fundi cherehani/tailor), awe amehitimu mafunzo yake vizuri japo sitaangalia vyeti bali uwezo wake katika kushona nguo yenye kiwango kizuri, pia awe mbunifu isiwe kila kitu aangalizie desa mahali. Nitamuhitaji fundi huyu kwa kazi maalumu kwamba anapofanya kazi yangu asiwe na viporo vya mtu mwingine, na atalipwa siku hiyo hiyo kuendana na kazi aliyokamilisha. Kwa fundi mpya aliyehitimu akiwa hana vifaa atapewa vifaa vyote ambavyo ni bure wala hatakatwa ktk malipo yake.
Kama una ndugu au rafiki unamfahamu tafadhali nitumie pm ili tupeane mawasiliano.
NB: Nahitaji fundi aliyepo dar es salaam.
Siku nyingine usitumie fundi cherehani iwapo unahitaji mtaalam wa kushona nguo badala yake sema fundi nguo na kama unatafuta fundi wa kutengeneza cherehani basi ndio useme unatafuta fundi cherehani
Haya endelea na kazi ndugu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom