Recent content by nyimi

  1. N

    Andrew Chenge: Toka Ufisadi hadi Uandishi wa Katiba ya nchi

    Dawa ni wananchi kudeal nawo kitaaaa
  2. N

    Kubali kataa Ngeleja ndio rais 2015

    Siwezi soma upuuzi kama huu, haiwezi na haitatokea ngereja kuwa rais TZ
  3. N

    Tamko la BAVICHA Musoma mjini kulaani upuuzi wa Paul Makonda

    makonda amekiuwa maadil ya kitanzania
  4. N

    Maajabu: Eti hataki tufanye hadi nimuoe kwanza!

    Aiseee komaaa akupe zigo kama hataki potezea, huyo anajifanya tu umuone ni mgumu kutoa usije kumuona malaya kuwa alikuwa anagawa. its just the way to build her faith to you.Maake ukilala nae sa hizi unaweza kuta ovyo ukasepa.
  5. N

    Taarifa kwa umma juu ya kutelekezwa na chama changu (NCCR Mageuzi)

    Huyu jamaaa hana damu ya upinzani, rudi CCM uenjoy maishaa
  6. N

    Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

    3-3 na mpira umeisha. Simba oyeee
  7. N

    Hali ilivyokuwa Kenya leo

    Hadi sasa wamefaliki watu 69 na wengne 170 kujeruriwa BBC news said, jeshi la kenya linapalangana kuingia ndan kusaidia mateka. Nasie watanzania tuwe alert.
  8. N

    Msisitizo kwa wale wa udsm. The best university eac

    pia kumbukeni kama utakuwa CoET sahau bata hadi umalize chuo la svyo unadisco mapema.najua kila aliyepo CoET anajulikana alipotoka alikuwa arwatan
  9. N

    Mke amzidi mume umri wa miaka 2.

    Mie mwenzio skushaur kuoa dada anayekuzd umr,mnaweza pendana sana sasa hivi ila baadae nuksi. Coz atazeeka mapema we bado kijana. Sa hv unamuona mdogo kwa7bu tu ajazaaa, akizaa we mwenyewe utashangaa kazeeka ghafla. Kingne tamadun za mwafrka ni mke kuwa mdogo kwa mme. Imagine watoto wenu...
  10. N

    Rafiki wa kiume

    Ni vizuri kutufurahisha , coz mie nimefurahi aisee. endelea kuunda hoja za kutupa raha kama hiz hapa JF
  11. N

    Kumbe wanaume nao hulia kunako 6 by 6, experience yake ikoje? Please

    Hi ninoma sasa, wanaume wengi upata steam kipindi wanakaribia kileleni , hapo ndo mtu uchanganyikiwa. sasa ya kulia mwanzo mwisho mie sina uzoefu nao.
  12. N

    Jinsi ya kuwaepuka majambazi wa bodaboda

    Mimi ni arwatan, one army. We kama mwanaume legelege shaur yako.
Back
Top Bottom