Aiseee komaaa akupe zigo kama hataki potezea, huyo anajifanya tu umuone ni mgumu kutoa usije kumuona malaya kuwa alikuwa anagawa. its just the way to build her faith to you.Maake ukilala nae sa hizi unaweza kuta ovyo ukasepa.
Hadi sasa wamefaliki watu 69 na wengne 170 kujeruriwa BBC news said, jeshi la kenya linapalangana kuingia ndan kusaidia mateka. Nasie watanzania tuwe alert.
Mie mwenzio skushaur kuoa dada anayekuzd umr,mnaweza pendana sana sasa hivi ila baadae nuksi. Coz atazeeka mapema we bado kijana. Sa hv unamuona mdogo kwa7bu tu ajazaaa, akizaa we mwenyewe utashangaa kazeeka ghafla. Kingne tamadun za mwafrka ni mke kuwa mdogo kwa mme. Imagine watoto wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.