Sio jambo jipya, kwani alishakuwa Mbunge kabla mamaake hajawa Raisi. Kuwania kupitia jimbo ni jambo zuri ili isije ikatafsirika amepewa kwa viti maalum
Shida sio Kamishna wa Elimu, shida ni wazazi wa Wanafunzi. Wazazi wengi hawataki kukaa na watoto wao nyumbani, hivyo upendekeza watoto wabaki shuleni kipindi cha likizo. Kamishna wa Elimu anatoa maelekezo na Wathibiti Ubora wa Shule huwa wanafanya ufuatiliaji kwa shule ambazo hazijafungwa...
Walimu hao ni wa Sekondari na watapangiwa kufudisha katika shule za Sekondari za Halmashauri husika. Kikawaida, kwa WAlimu hata ajira ikitolewa moja kwa moja kutoka TAMISEMI, ukishapangiwa kituo cha kazi tu Mwajiri wako anakuwa Mkurugenzi wa Halmashauri husika
Mheshimiwa Makonda alidhibiti matumizi ya dawa za kulevya, alisaidia kuzuia mashoga kutokujiachia (alidhibiti ushoga), alisaidia watoto kupata bima za afya, alisaidia walimu kuthaminiwa kwa kufuta nauli za daldala kwa walimu na alihakikisha uimarikaji wa ustawi wa jamii kwa kuwashughulikia...
Zile kura za urais kuna kiwango kikifikia chama huwa kinapata ruzuku. Kwahiyo, ni muhimu kuweka mgombea urais labda iko kiwango kinaweza kufika na chama kikipata pesa ya kujiendesha. Ila sidhani kama wanaogombea wana nia nyingine zaidi ya hii, mana kuhusu kushinda sio kweli, kwasababu kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.