mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Naamini sasa wewe na wenye mtazamo hasi na mamlaka, kama wewe, mna matatizo ya kisaikolojia.
Yawezekana pia hamjiamini maana hakuna jema lolote mnalolijua. Mtu akipita na vicheko vyake utakasirika ukidhani anakucheka wewe. Du!
Tahadhari COVID-19 itakuwepo kwa muda mrefu, hivyo basi:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE UWAPENDAO
Yawezekana pia hamjiamini maana hakuna jema lolote mnalolijua. Mtu akipita na vicheko vyake utakasirika ukidhani anakucheka wewe. Du!
Tahadhari COVID-19 itakuwepo kwa muda mrefu, hivyo basi:-
JIKINGE UMKINGE JIRANI
JILINDE UWALINDE UWAPENDAO