Vema umejua mafanikio yanapitia baadhi ya michakato ndiyo maana walioishia darasa la Saba wanaanza kupitia michakato mbalimbali hadi yule waliesoma nae kama alienda chuo lazima amkute std seven ameshapitia challenge nyingi na inakuwa kawaida kwake kuelekea mafanikio sa we graduate ndo kuanza...
Dini ni kilevi cha akili, ni heri ukamjua Mungu tu, masuala ya dini ni kuyaweka kando ili kuwa huru kifikira na kimaisha kwa ujumla.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Duuuh, tatizo hili! Tz uchumi wa mtu binafsi uko vibaya, uchumi wa serikali yenyewe pia uko vibaya! Vibaya+vibaya=Maafa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Location nzuri kwa kweli ni tija katika circulation ya biashara,yaani ukipatia location hakika utafurahia matunda mazuri ya biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu mno kupona magonjwa eti kwa kuombewa,naomba tusiangamie kwa kukosa maarifa kwani maarifa tuliyojaliwa na mwenyezi ndo hayo hayo yanayotusaidia kugundua dawa mbalimbali ambazo kiasi chake zinasaidia kurefusha maisha ya wenye Positive.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.