Haahah bonge moja la ushauri,kama mwerevu huu ndo ushauri sasa auchukue! n ushauri wenye uwazi kabsaaaaHele unachukua bila ushauri ile mengine unataka ushauri...mrudishie pesa yake halaf umwambia asije wala mwanae asikuite baba
Haliwezi kuwa jina.. Kwa nini usiwaite omba omba..?Wanaitwa haki yetu
Sawa kabisa so mwanaume anayependa dezo na kutunzwa anaitwa omba omba this is nice nameHaliwezi kuwa jina.. Kwa nini usiwaite omba omba..?
Mwanaume haombi hela bhali shobo za hao mademu ndyo utuma pesa kujibebisha ila omba omba ni wanawake tu..Sawa kabisa so mwanaume anayependa dezo na kutunzwa anaitwa omba omba this is nice name
Ushauri mzuri, ila akiufuata si atakosa Hiyo miamala Sasa?
Anataka kufaidi miamala huyu, ndio maana kabaki njia panda.

Ushauri mzuri, ila akiufuata si atakosa Hiyo miamala Sasa?
Anataka kufaidi miamala huyu, ndio maana kabaki njia panda.
Wa Ajabu huyu, kwanza ana mahusiano tayari , pili inaoneshe Hana hisia na huyo msichana na hana future nae. Ila anachanganyikiwa na visenti anavyopata! Kabaki njia panda!huyu nimwanaume wa mkoani angekuwa wa Dar ingekuwa tofauti