Msaada nimeipenda hii pikipiki pichani nahitaji kuinunua nchi jirani ya Kenya nahitaji kujua ushuru wake unagharimu kiasi gani hadi usajiri,maana nimeingia kwenye app ya TRA haina option ya kuangalia ushuru wa pikipiki ni magari tu
Yaani hili somo najitahidi kulisikikiza kwa makini naishia kuvurugwa akili yaani unamsikiliza mdau mmoja unamuelewa ukimsikiliza mwingine anakuchanganya tena mara OVD iwe on mara iwe Off yaani duuh!.
Wakuu habari za kutwa,wazoefu na wataalam wa gari hii tunaomba mtuondolee ubishani huu kijiweni kwetu kwamba gari hii tajwa inatumiaje mafuta km ngapi kwa lita
Duh! Haya mambo mashikoro kwangu sijui nijieleze vp yaani kama saiv natumia simu kujirekodi nasoma tangazo kisha nalihamishia kwenye flash disk kisha inachomekwa kwenye amplifier kwa ajili ya kupita mtaani sasa quality ya sauti sio nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.