Zikiwa zimebaki takribani wiki mbili kabla ya kuanza michuano mikubwa ya kabumbu duniani.Huku mashabiki wa soka tumekuwa tukifanya maandalizi ya ili kuweza kushuhudia michuano hiyo.Binafsi sina imani sana na televisheni yetu ya taifa kutuonyesha michuano iyo kama wanavyotuahidi.Nina imani...
Tanzania ya miaka ya 70 hatunayo tena.Ambapo kazi zilikuwa zinatafuta watu.lakini leo hii unaitafuta kazi na sio lazima uipate,mwisho wa siku tunaacha ujuzi uliogharamiwa ukipotea bila tija mtaani.Kumekuwa na wimbi kubwa la wawekezaji kila kukicha,hakuna kigeni wanachokuja nacho zaidi ya assets...
hivi jamani wana jamii kuna anayejua details za kazi za wizara mana kuna tetesi huku mitaani kuwa mwaka huu watatoa ajira kwa wote wenye digrii waliomaliza vyuo vya kilimo kama wafanyavyo kwa wale wa diploma
!
ushauri wa bure!mfungue radio nyingine ambayo itafanya mambo ya siasa na nyingine iendelee kutufundisha dini!too much politics na dini ndan ya siasa na siasa ndani ya dini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.