Hii nchi hata njia inazotumia kutatua kero nazo ni kero tu kwa wananchi mfano mkandarasi wa mchongo aliepewa zabuni ya kujenga mabanda toka mwaka jana hajamaliza hii inaashiria hakuwa na uwezo wafanyabiashara wanazidi kuteseka na Hali ya mvua zinazoendelea
Habari za majukumu, nimekuja na kero ya kupata adds kwenye simu yangu Kila mara unakuta unaletewa matangazo ambayo huitaji mfano Ile ad ya ADA health[emoji2959] inanikera sana. Mwenye kufahanu jinsi ya kuzuia haya matangazo tafadhali
Habari jana yu nimeachia thread yangu ,nikitafuta mwanamke mwenye character kama zako.Ni Dm namba zako au nichek WhatsApp 0746375258 tuchek kama tuna match.
Et kijiji kizima hahaha wasingetosha kwa hiyo camera sight nenda kasome hadhi ya kijiji ,muundo ,sifa ,idadi ya wakazi ....nachukua kikombe kimoja ila sitakunywa hii chai...
Wajuvi tunasema hiyoilikuwa ni hitilafu ya kiufundi tu inayotokana na upungufu wa fresh blood kwenye kibuyu na uzito wa ZIGO la kuvunja chaga uliopelekea Ungo kupoteza mwelekeo na kuanguka ardhini..Ila anabahati hakuangukia kwa wahuni wangemvua hizo hirizi af wakamgegeda kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.