cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Nawasalimu kwa jina la jamhur ya muungano wa tanzania wadau,
kama kichwa cha habar hapo kinavyojieleza naomba kwa yeyote anayefaham app nzur ya kuondoa matangazo kwenye simu naomba anisaidie maana kuna muda unakuta unafanya vitu vya msingi mtandaon unaona matangazo kibao yanaingia.
Kwaiyo mwenye kujua App nzur ya kuondoa ayo matangazo naomba anitajie kaka chief bandiko langu nadhan umeliona.
Asanteni.
kama kichwa cha habar hapo kinavyojieleza naomba kwa yeyote anayefaham app nzur ya kuondoa matangazo kwenye simu naomba anisaidie maana kuna muda unakuta unafanya vitu vya msingi mtandaon unaona matangazo kibao yanaingia.
Kwaiyo mwenye kujua App nzur ya kuondoa ayo matangazo naomba anitajie kaka chief bandiko langu nadhan umeliona.
Asanteni.