Recent content by nyathika

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Kila nchi unayoipenda duniani imejengwa na kodi
  2. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Hahaha ni kweli ng'ombe hazielewi ila nachojua ni kwamba hizo ng'ombe ni chache sana zenye uelewa na masula ya kodi Kuna zingine ukikutana Nazi malishoni hata haijui rate ya kodi yake ni kiasi gani yenyewe inachojua ni kupinga tu. Mi binafsi nna kishughuli flani nafanya nilikuja kugundua kuwa...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    TRA Ijikite katika kutoa elimu zaidi Kwa mlipa Kodi, Kila mtu awe proud na ajisikie furaha na amani kulipa Kodi stahiki kiufupi dhana ya Magufuli ya uzalendo ilikua superb Kwa baadhi ya matatizo nchini
  4. N

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwanamapinduzi adaiwa kukimbia nchi

    Siasa zao za udini hiyo ndo dawa Yao funga makanisa ili watafute pa kukimbilia,
  5. N

    JamiiForums Tanzania Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    KAFIRI kwenye ubora wake
  6. N

    JamiiForums Tanzania Muulizeni Diamond Platinumz aliyewakodia Private Jet kwenda Nigeria walimlipa nini kama wao hawapewi pesa za bure? Aaache matusi kwa watanzania

    Maoni binafsi hayaondoi ukweli kuwa CCM jambo lao linaenda vizuri sanaaaa...
  7. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwa wale mnaotumia BIMA kutibiwa kwenye VITUO VYA AFYA hasa vya serikali fuatilieni hili kwa makini sana kuna wizi mkubwa, imekuwa biashara sasa

    Hili lipo sana lishanikuta Kuna hospital Moja pia walitumia kadi ya mtoto wangu 2 timez alafu wananipigia kuniambia nisitie shaka ni suala la mtandao
  8. N

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuweni wavumilivu

    Hamnaga Hamis fala ama lazima awe na dosari sa nimeshtuka kuona Hamis anaandika pumba kumbe ni HAMIS KAFIRI 😂😂😂
  9. N

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    Si jf Iko secured au mi ndo Huwa sielewi 😲
  10. N

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    Awamu ya 6 imefanikiwa ama imefeli kiuchumi?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Watoto ninaowafundisha hakuna alie na ndoto ya kua mwalimu hi imekaaje?

    Hata usihangaike kuwauliza baada ya miaka michache watakuja shuleni kuomba msaada namna ya kuomba vyuo vya ualimu na huko UE ndo kabisa wanakuaga teachers by default mode
  12. N

    JamiiForums Tanzania Watanzania kwenye jeshi la Marekani

    Naweza kupata connection
  13. N

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Boniface Mwangi afunguka mateso ya kikatili aliyofanyiwa Tanzania, adai ''Tuliambiwa tuvue nguo, tutambae na tuoshe damu''

    Nikumbushe ni lini ndugu yangu.... Nachokumbuka ni juzi tu alikua Uganda na hakuna sehemu aligusa mambo ya kisasa na kiutawala ya Uganda sanaaaa alimuongelea Nyerere na siasa zake Hadi tukampigia makofi
  14. N

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Boniface Mwangi afunguka mateso ya kikatili aliyofanyiwa Tanzania, adai ''Tuliambiwa tuvue nguo, tutambae na tuoshe damu''

    Nalingana na babako kamuulize yeye miaka yake ndo yangu
  15. N

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Boniface Mwangi afunguka mateso ya kikatili aliyofanyiwa Tanzania, adai ''Tuliambiwa tuvue nguo, tutambae na tuoshe damu''

    Free movement sio free chance ya kutolea maamuzi ambayo yako mahakamani yanajadiliwa tena katika hali ambayo sio raia wa nchi husika, wangekuja kimya tu wakafika Hadi mahakamani kupeleka utetezi wao lakini sio kupigia kelele nje ya mahakama na kuja kuleta mgongano baina ya wananchi
Back
Top Bottom