Recent content by nyathika

  1. N

    JamiiForums Tanzania Wanaume unaweza kudate na mwanamke above 25 years ambaye hana kazi wala chochote anachojishughulisha nacho?

    Mwanamke anatakiwa akae nyumbani Tena ikiwezekana bila hata kupiga deki, kazi anayoifanya ya kukuburudisha, kukuzalia plus kulea ni kazi ambayo haailingani na chochote duniani
  2. N

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    Mama wanyooshe tu Hadi waelewe hao
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msemaji asiye na akili Gerson Msigwa kashatia Taifa aibu, Afeki jambo kumfurahisha Samia,DJ Khalid amshushua

    Wazungu nao wapumbavu, kwani hapo ni endorsement hiyo au ni nini, imeandikwa mtu amekaribishwa hajalazimishwa Wala kuvutwa shati, kapewa jezi na kaipokea, dj Khaled alipokeaje Visit Tanzania akijua ana mkataba na explore uganda
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa na Serengeti Boys kutotwaa ubingwa, raha tupu yaani!

    Hongereni watz wenzangu Kwa kupoteza fainali
  5. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Kila nchi unayoipenda duniani imejengwa na kodi
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    Hahaha ni kweli ng'ombe hazielewi ila nachojua ni kwamba hizo ng'ombe ni chache sana zenye uelewa na masula ya kodi Kuna zingine ukikutana Nazi malishoni hata haijui rate ya kodi yake ni kiasi gani yenyewe inachojua ni kupinga tu. Mi binafsi nna kishughuli flani nafanya nilikuja kugundua kuwa...
  7. N

    JamiiForums Tanzania Ishauri Serikali Namna ya Kukusanya Kodi kwa Wasiolipa Kodi!

    TRA Ijikite katika kutoa elimu zaidi Kwa mlipa Kodi, Kila mtu awe proud na ajisikie furaha na amani kulipa Kodi stahiki kiufupi dhana ya Magufuli ya uzalendo ilikua superb Kwa baadhi ya matatizo nchini
  8. N

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwanamapinduzi adaiwa kukimbia nchi

    Siasa zao za udini hiyo ndo dawa Yao funga makanisa ili watafute pa kukimbilia,
  9. N

    JamiiForums Tanzania Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    KAFIRI kwenye ubora wake
  10. N

    JamiiForums Tanzania Muulizeni Diamond Platinumz aliyewakodia Private Jet kwenda Nigeria walimlipa nini kama wao hawapewi pesa za bure? Aaache matusi kwa watanzania

    Maoni binafsi hayaondoi ukweli kuwa CCM jambo lao linaenda vizuri sanaaaa...
  11. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kwa wale mnaotumia BIMA kutibiwa kwenye VITUO VYA AFYA hasa vya serikali fuatilieni hili kwa makini sana kuna wizi mkubwa, imekuwa biashara sasa

    Hili lipo sana lishanikuta Kuna hospital Moja pia walitumia kadi ya mtoto wangu 2 timez alafu wananipigia kuniambia nisitie shaka ni suala la mtandao
  12. N

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuweni wavumilivu

    Hamnaga Hamis fala ama lazima awe na dosari sa nimeshtuka kuona Hamis anaandika pumba kumbe ni HAMIS KAFIRI 😂😂😂
  13. N

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    Si jf Iko secured au mi ndo Huwa sielewi 😲
  14. N

    JamiiForums Tanzania Niulize swali lolote kuhusu uchumi au biashara

    Awamu ya 6 imefanikiwa ama imefeli kiuchumi?
Back
Top Bottom