Mwanamke anatakiwa akae nyumbani Tena ikiwezekana bila hata kupiga deki, kazi anayoifanya ya kukuburudisha, kukuzalia plus kulea ni kazi ambayo haailingani na chochote duniani
Wazungu nao wapumbavu, kwani hapo ni endorsement hiyo au ni nini, imeandikwa mtu amekaribishwa hajalazimishwa Wala kuvutwa shati, kapewa jezi na kaipokea, dj Khaled alipokeaje Visit Tanzania akijua ana mkataba na explore uganda
Hahaha ni kweli ng'ombe hazielewi ila nachojua ni kwamba hizo ng'ombe ni chache sana zenye uelewa na masula ya kodi Kuna zingine ukikutana Nazi malishoni hata haijui rate ya kodi yake ni kiasi gani yenyewe inachojua ni kupinga tu. Mi binafsi nna kishughuli flani nafanya nilikuja kugundua kuwa...
TRA Ijikite katika kutoa elimu zaidi Kwa mlipa Kodi, Kila mtu awe proud na ajisikie furaha na amani kulipa Kodi stahiki kiufupi dhana ya Magufuli ya uzalendo ilikua superb Kwa baadhi ya matatizo nchini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.