Hahaha ni kweli ng'ombe hazielewi ila nachojua ni kwamba hizo ng'ombe ni chache sana zenye uelewa na masula ya kodi Kuna zingine ukikutana Nazi malishoni hata haijui rate ya kodi yake ni kiasi gani yenyewe inachojua ni kupinga tu. Mi binafsi nna kishughuli flani nafanya nilikuja kugundua kuwa...
TRA Ijikite katika kutoa elimu zaidi Kwa mlipa Kodi, Kila mtu awe proud na ajisikie furaha na amani kulipa Kodi stahiki kiufupi dhana ya Magufuli ya uzalendo ilikua superb Kwa baadhi ya matatizo nchini
Hata usihangaike kuwauliza baada ya miaka michache watakuja shuleni kuomba msaada namna ya kuomba vyuo vya ualimu na huko UE ndo kabisa wanakuaga teachers by default mode
Nikumbushe ni lini ndugu yangu....
Nachokumbuka ni juzi tu alikua Uganda na hakuna sehemu aligusa mambo ya kisasa na kiutawala ya Uganda sanaaaa alimuongelea Nyerere na siasa zake Hadi tukampigia makofi
Free movement sio free chance ya kutolea maamuzi ambayo yako mahakamani yanajadiliwa tena katika hali ambayo sio raia wa nchi husika, wangekuja kimya tu wakafika Hadi mahakamani kupeleka utetezi wao lakini sio kupigia kelele nje ya mahakama na kuja kuleta mgongano baina ya wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.