huyu jamaa ni mkali, ntashangaa kama wimbo wa bonta"walaumiwa" hautaingia next year awards, ntajua hawa jamaa wana beef na baadhi ya wasanii"..mangwea mheshimiwa....bi kidude mheshimiwa...runyamila mheshimiwa...!!
Mi natokea ludewa,kata ya lumbila, ukifika kule kuna shule utazikimbia mfano! makonde sekondari, lakini nyingine utazipenda kama vile ulayasi sekondari!
Udsm intellectuals do not qurrel for stupid things, ningewaona wa maana kama mngeendelea kulisemea jambo la matokeo ya coet pamoja na prediction ya september conference kuliko malumbano hayo mnayoyaendeleza!
UKICHAGUA UALIMU UMEAMUA KUFA MASKINI, ingawa kuna siku naamin kuna mtu atasimama kuwatetea walimu kwan hata viongoz wa juu katika nchi hii hawaon kabisa maisha ya walimu, yaan hata certificate ya nursing inazidi degree ya ualimu!!! du! ama kwel aliyeshiba hamjui mwenye njaa!!
Ki ukwel umenena,kama itatokea hvyo ndo ishara timilifu kwamba wananchi wanatumia vibaya kula zao pamoja na kodi zao zinapaswa kurudishwa kwan viongoz wanaowapa dhamana wamekuwa mabumbwaz siku hizi
Mambo haya ni kama vle tunaishi na watu ambao ni wahamiaji kumbe na watanzania wenzetu, nataman ingekuwa zaman!! it is not fair,SITAKI KUSIKIA MTU YEYOTE ANAYESEMA TANZANIA NI KISIWA CHA AMAN,huko ni kudanganya watu,aman imepotea!
Kama ni dalili za kupotea kwa aman zimeanza kujitokeza mda hapa bongo,utashaurije nyumba ya mwenzio kutengeneza mapaa huku kwako kunaungua? yuko sawa kagame!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.