Recent content by Nyasa Girl

  1. N

    Halmashauri Kuu ya Taifa Chama cha Mapinduzi, tunaomba mnusuru mpasuko unaoletwa na Viongozi wa CCM Mkoa wa Tabora

    PONGEZI ZA SHUKRANI KWA KATIBU MKUU WA CCM, DR. BASHIRU ALLY Tarehe 11/08/2020 ,nilishusha bandiko hili kwa kuomba chama cha mapinduzi kiingilie kati suala la washindi wa kura za maoni ,ndani ya CCM, kwani ilionekana tayari mambo si mambo hasa kwa washindi ambao walikuwa hawaivi na viongozi wa...
  2. N

    Halmashauri Kuu ya Taifa Chama cha Mapinduzi, tunaomba mnusuru mpasuko unaoletwa na Viongozi wa CCM Mkoa wa Tabora

    Nikiwa kama mwanachama wa muda mrefu naandika kwa masikitiko makubwa sana, mambo yanayofanywa na uongozi wa CCM mkoa wa Tabora wakiongozwa na katibu wa CCM mkoa. Naamini jukwaa hili ndio njia pekee ya kufikisha malalmiko ambayo yataweza kufika kwa urahisi kwenye uongozi wa CCM Taifa na hatimaye...
  3. N

    DC wa Tabora Mjini anafanya kazi kwa kufuata miongozo na maadili ya kazi na kiapo cha maadili ya utumishi wa umma

    Ndugu wana JF Mitandao ya kijamii ,hasa mtandao unaoheshimika Tanzania wa Jamii Forums ,umekuwa ukitumika na watu mbalimbali wenye nia njema na watu wenye nia ovu, lakini tuhuma zinapotokea lazima zijibiwe ili kuweka rekodi sawa dhidi ya upotoshaji na uchafuaji wa viongozi unaofanywa na...
  4. N

    Huu ndio ukweli kuhusu andiko linalomtuhumu DC wa Tabora Mjini, Komanya Kitwala kutokuwa na maelewano na watumishi

    Ndugu wana JF Kumetokea juzi andiko ambalo linamtuhumu Dc wa tabora mjini ,Mh. Komanya Kitwala kwa mambo mbalimbali , kiufupi hayo mambo ni ya kutunga na uzushi mkubwa ambao unazushwa na wanufaika wa ufisadi na watu waliozoea kufanya kazi kwa mazoea. Uzi wa tuhuma huu hapa Mkuu wa Wilaya ya...
  5. N

    Nani anafaa kupata kiti cha uenyekiti UVCCM?

    *VIJUE VIPAUMBELE NA SERA ZA NDUGU JUMA S. MTORO, MGOMBEA NAFASI YA MWENYEKITI UVCCM –TAIFA.* *TAARIFA MAHUSUSI* Jina: JUMA SEIF MTORO Kuzaliwa: 1987. Mkoa: Pwani. Wilaya: Bagamoyo *ELIMU* ∆2009-2012 :- Chuo Kikuu Cha Dodoma-Shahada Ya Kwanza Ya Maliasili,Utalii na Urithi wa Kitamaduni...
  6. N

    Vijue vipaumbele na sera za ndugu Juma S. Mtoro, mgombea nafasi ya mwenyekiti UVCCM taifa

    VIJUE VIPAUMBELE NA SERA ZA NDUGU JUMA S. MTORO, MGOMBEA NAFASI YA MWENYEKITI UVCCM –TAIFA. TAARIFA MAHUSUSI Jina: JUMA SEIF MTORO Kuzaliwa: 1987. Mkoa: Pwani. Wilaya: Bagamoyo ELIMU Chuo Kikuu Cha...
  7. N

    Kumekucha: Barrick yaongeza team ya Wataalamu kuinasua kampuni yao na kashfa ya kodi na makinikia

    Kwa andiko LA barafu nani anaenda kupoteza ,hivi huwa mnafikiria na kusoma vizuri , Kwa trend ilivyo (mole) wanadai barrick kashikwa vibaya mnoo ndio maana anaongeza nguvu lakini hata hao jamaa hawataweza kwanza hawaamini ugumu waliokutana nao pia wajumbe wa Tanzania waliomo kwenye jopo...
  8. N

    Kitabu cha masuala ya greenhouse sasa kinapatikana

    Karibuni wadau wa kilimo cha kisasa na kupanua maarifa kabla ya kuanza kilimo cha greenhouse/nethouse
  9. N

    Kitabu cha masuala ya greenhouse sasa kinapatikana

    Karibuni wadau wa kilimo cha kisasa
  10. N

    Kitabu cha masuala ya greenhouse sasa kinapatikana

    *KITABU CHA MASUALA YA GREENHOUSE SASA KINAPATIKANA* Habari wajasirimali wote na wanajihusiha na kilimo cha kisasa na wanaowiwa kujihusisha na kilimo cha kisasa hasa Greenhouse/Nethouse , sasa kitabu kinapatikana kikiwa kimesheheni mambo mbalimbali kama ; - Maana ya Greenhouse -Tofauti ya...
Back
Top Bottom