Recent content by Nyanzura

  1. N

    Mliooa wadada wasomi wenye mishahara yao tupeni uzoefu

    Bora uwaambie..sio wote wako hivyo maana kila mtu na tabia yake. Huo ni uoga tu wa wanaume.
  2. N

    Ethiopia food

    Hivi kumbe ni mchele, wanatengenezaje huo unga wa Injera, wanakoroga halafu wanapika kama chapati za maji?
  3. N

    Wanawake wenye vitambi mnanikera sana

    Kweli kabisa ni point ya muhimu. Vitambi ni matatizo si afya na pia havipendezi. Tatizo hili lipo jinsia zote tu. Wote inatakiwa kuchukua hatua.
  4. N

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Dr. Slaa
  5. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Asante Cynthia Chriss I will watch out my dear. Naamini watu wengi wanafahamu urefu wao so sidhani kama ni tatizo.
  6. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Hapana, natafuta mume, huwezi kuolewa na mtu asiye rafiki yako.
  7. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Mrejesho lazima nitawaletea.
  8. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Asante Snail.
  9. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Umenichekeshajeee? Mimi ni mrefu so napenda kuwa na mtu anayenizidi urefu. Naamini hata wewe unavigezo vyako. Kunywa nimesema anaweza kuwa anakunywa lakini sio yule wa kunywa na kupoteza dira.
  10. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Asante MadameX.
  11. N

    Natafuta rafiki/mume wa kumujari 39-43

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi mi mwanamke mwenye umri wa miaka 35, elimu degree 2. Nimeajiliwa, dini mkristo. Mengine tutaelezana zaidi PM. Naamini Mungu anakutanisha watu sehemu tofauti na JF ni sehemu mojawapo. Kwa hiyo nami najitokeza kutafuta rafiki wa kumujari ambaye anaweza...
  12. N

    GE2010 Mkutano Wa Hadhara Wa Wana-JF [Online]

    Naungana na wadau hapo juu Mwenyekiti, tunahitaji Katiba na Kiongozi atakayerudisha nchi na watu wake kwenye mstari! Mambo mengine yatajipa tu!
Back
Top Bottom