Ethiopia food

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
Waku wa jukwaa la maanjumati.

Kuna kitu nataka kujua, ukienda ethiopian restaurant kuna vya kula vingi ila mimi ninacho kijua nia anjari[sijui kama nime patia] iko kama chapati ila kubwa sana na niya mchele, mara ya kwanza niliangiza huo msosi doh nilikuwa peke yangu walaah nilibeba maana ilikuwa kubwa sana.

Sijui hamna ndogo au size ni moja pili je ile sosi yake ni sa hii kuimwangia kwenye ile anjari au unakata anjari una toweza kwenye sosi. Je chakula kingene cha ethiopian ambacho mbongo naweza kula ni kipi
 
njanjuru mkuu ni wali maharage sema upishi wake ni tofauti kidogo na iliki nying
 
Hiyo "injela" na kiasilia inatokana na unga wa "teff" aina ya nafaka inayolimwa Ethiopia zaidi...
 
Hiyo "injela" na kiasilia inatokana na unga wa "teff" aina ya nafaka inayolimwa Ethiopia zaidi...

Lugha nyingine inaitwa kisra siyo nafaka ni mchele unaoshwa unaanikwa ukikauka unasagwa,unawekwa hamira kuumika.kisha inapikwa linakuwa pana sana sema nyepesi kwa asubuhi unaweka sukari unanywea chai kwa mchana na usiku hauweki sukati nzuti ukilia na mchuzi wa kawaida na maharage pia.
 
Lugha nyingine inaitwa kisra siyo nafaka ni mchele unaoshwa unaanikwa ukikauka unasagwa,unawekwa hamira kuumika.kisha inapikwa linakuwa pana sana sema nyepesi kwa asubuhi unaweka sukari unanywea chai kwa mchana na usiku hauweki sukati nzuti ukilia na mchuzi wa kawaida na maharage pia.
Hivi kumbe ni mchele, wanatengenezaje huo unga wa Injera, wanakoroga halafu wanapika kama chapati za maji?
 
Injera inayotengenezwa kutokana na Teff ndo Asilia, hii ya mchele, mahindi ni kwa vile upatikanaji wa teff siyo rahisi sana kwa kila mtu hasa wenye kipato cha chini.
 
Back
Top Bottom