Uko sahihi wajifunze kujenga katika maeneo yaliyopangwa na kupimwa huko watapata barabara zilizopo Kwa mujibu wa Sheria na kanuni. Urasimishaji haufanyiki kuboresha makazi wala barabara lengo ni kupata uhalali wa kuwabana Kwenye maduhuli (Kodi ya Ardhi).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.