Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,212
- 14,802
😀😀😀😀😀 ampige ngwala tena daaah
ndiyo uafrika kimila enzi na enzi, ndiyo udume huo wa kiafrika, kumpiga uliyemzidi nguvu …
😀😀😀😀😀 ampige ngwala tena daaah
Umeongea kwa hasira sana jomba! umemuonea wivu muolewaji
Kweli wewe ni mfalme Juha,kama unasomaga bible au msahafu hakuna unacho ambuliaga.Mwanaume ndoo anapigiwa magoti ndoo kiongozi,wewe umejaa na umagharibi wako unashindwa kutambua vitu vidogo kabisaaa.the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Kweli wewe ni mfalme Juha,kama unasomaga bible au msahafu hakuna unacho ambuliaga.Mwanaume ndoo anapigiwa magoti ndoo kiongozi,wewe umejaa na umagharibi wako unashindwa kutambua vitu vidogo kabisaaa.
Manake amekazana this guy sijui low IQUmeona eeh😂
Zamani Sana na majani 🎵Ni Selemani Msindi na Filipo Nyandindi!!!!
Dah! Nakumbuka ma- song yake jamaa!!!!!!
Kweli kwa Mungu si kwa mzungu.
Hongera zako Afande Sele.
hahaaa mdada wa watu karidhia lakini inatokea midume ndio inaumia😁Manake amekazana this guy sijui low IQ
Mwanamke anaonekana mtu wa kashkash kitandani na nje ya kitanda. Mama eeehMfalme wa Rhymes Afande Sele amemchumbia mpenzi wake Imani Makongoro baada ya kupita muda mrefu tangu kufariki kwa mzazi mwenzie Mama Tunda.
View attachment 3433400
Soma pia: Afande Sele: Utaratibu wa kutoka Kituo cha SGR - Morogoro haufai, unachelewesha Watu na unachosha abiria
Rafiki yake na msanii mwenzake Imani ameshea post hii ya Afande Sele kuchumbiana na Imani Makongoro na kuandika
"Hongera sana mwanangu Afande Sele pamoja na mwenzio Imani Makongoro kwa kuchumbiana (Engagement) Mungu awasimamie Jambo hili liwe na baraka tele".
"NB:Baada ya kukaa Mgane miaka mingi toka Mama Tunda ATUTOKE (RIP) hatimaye Mfalme kapata Malkia wa maisha yake".
Chanzo: EastAfrica TV
wewe kweli kijakazi, mahari nitoe mimi halafu nikupigie goti wakati nakuvisha pete ?hata wewe hauelewi kama huyo idiot mwenzako kwa nini Christians hupiga goti wanamuuliza binti kuolewa naye, kama hamuelewi maana yake si muonane tu kimila kama mababu walivyofanya enzi na enzi kwa kuviziana vichochoroni kupigana mitama, ila mila za watu kama hamzielewi ziacheni …
Amen
Jinga kweli wwthe guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
Kwavile wewe ulipigiwa goti kuvalishwa Pete na mumeo ndio unafikiri wanaume wote ni wajinga?the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …
🤣🤣🙌Naomba kuuliza wanavuta bangi pamoja maana kama wanafanana na samaki chuchungi
Mkuu,the guy is stupid na low iq, badala ya kumpigia magoti mke wake eti yeye ndiye anapigiwa magoti, such a selfish fool …