Recent content by nyangusa

  1. N

    Nigeria wawajibu wazulu mauaji

    Watu wa south Afrika dhambi ya ubaguzi inawatafuna
  2. N

    Tutaje dhambi za zamani ambazo sio dhambi siku hizi!

    Mschana kuzaa nyumbani ilikua ni dhambi kubwa sana, ila siku hz ni kawaida na hata wachungaji wetu husikii wakiubiri kwamba kuzaa nyumbani kabla ya kuolewa ni dhambi, unaweza ukaingia kwenye mji wa mtu ukamwona mwanamke ana watoto 2 ukiulizia unaambiwa ni binti yupo kwao.
  3. N

    Sitosahau niliponusurika kuchomwa moto tulipoenda kuiba mimi na rafiki zangu

    duuuu!!!!!! Ila ujue Mungu anamakusudi na wewe, huku kanda ya ziwa (Mara ) wanaume wengi wanatabia ya kukimbia familia zao.
  4. N

    Serikali yakiri kudaiwa Shilingi Bilioni 105 na wakulima wakubwa wa Korosho

    mkuu jiangalie usijesababisha max akamatwe tena yaani unataka mkuu wa nchi uliemchagua apimwe akili!!!!?!?!
  5. N

    DENI LA TAIFA: Benki ya dunia yaitahadharisha Tanzania

    Mbona kila wakati tunaambiwa kwamba mapato ya taifa linaongezeka?, mbona zito akiongea haya anapingwa na kuonekana anafanya siasa? Je hawa wb ni chama gn hapa Tz ?' afu ni vzr hbr hz ziwe zinatoka live pale magogoni.
  6. N

    Dk Bashiru awaonya polisi kutotumia mabavu kushughulika na wanasiasa

    Tunaeleke kwenye uchaguzi ivyo kuweni makini na wanasiasa, hayo aliyoyasema yamelalamikiwa na watu wengi Tanzania hii hadi vyombo vya kimataifa nashangaa kuona leo katibu huyo akikemea kama ndipo ni mara ya kwanza kusikia, mimi simuamini mwanasiasa kwa kipindi hiki.
  7. N

    Rais Magufuli ampa RC Makonda ruhusa ya kwenda Misri leo kuhakikisha Taifa Stars inashinda mechi zilizobaki

    Alipokua anaenda misiri nilisikia redioni je aloporudi nani alisikia?.
  8. N

    Mwanafunzi ajiteka na kudai fedha kwa wazazi wake

    Kwa akili hizo za season hawezisoma, wamrudishe nyumbani akaangalie sultan kweny azam tv.
  9. N

    CHADEMA: Tumefanya uchambuzi wa ripoti zote CAG na kugundua awamu ya 5 kuna upotevu wa fedha nyingi kuliko awamu zote tangu ile awamu ya kwanza

    nakuunga mkono make kila mtu anataka afagilie chama chake na wakati vyama vyao ni wizi mtupu.
  10. N

    Katika hili, namwamini Shetani

    Mtoa mada, naomba no za simu za Adam na Hawa na wanaishi mkoa gani na nchi gani?.
  11. N

    Baba yangu ni mkatili. Ananifukuza na sina pa kulalamika, nabaki na huzuni

    Unafanya kz gn? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. N

    TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
  13. N

    Salute kwenu wanume mliopo kwenye ndoa mna roho za chuma

    Ww biblia inasema mke mwema anatoka kwa Mungu, hayo ya kutumia juhud zako ww mwenyewe ni umalaya, afu watu km nyie ndio huwa mnakataa mimba fikiria umempa moja mimba mimba kwenye kutestiana kisha ukagundua mapungufu kwake je ukimpa mimba utakubali kumchukua mtoto na mamake au mtoto nyoka ni...
Back
Top Bottom