Lakini kinana hajawahi kuomba uongozi au hili hulijui?tokea huo ubunge na uwaziri vyote anapewa tokea enzi ya Nyerere mpaka hii leo.
Lakini uzi wako umejaa chuki za kikabila mara wachaga,wambulu,wasomali na wahindi sijui ulitaka kufungamanisha vipi haya makabila na kinana,upo uwezekano pengine...