Kwa miaka ile wengi tulimuelewa sanaa kuliko hata hizo jejee zenu na ndie alikua super star east africa. Sema teknolojia ilikua chini sana! Hata hao kina Jeje sijui Uno wakati wao ukipita wataonekana hovyo tu
Paschal nadhani hauko sahihi! Ikumbukwe pia haya mambo ya kuwafutia uanachama hufanywa na vyama vyote hasa pale inapotokea kuna utovu wa nidham hivyo kwa CDM si jambo geni kumtimua kada wake muhim km Rwakatale( Zitto alikua muhim zaidi). Hata chama tawala CCM wamepata kuwatimua makada wao mahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.