YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
- Thread starter
- #41
Tanzania Sio nchi ya kijamaa ila mafisadi cha mtema kuni wanakionaSijawahi kuvutiwa na vyama vyenye siasa za kijamaa. Mimi sio muumini wa siasa za kikondoo na kinafiki. Na wala sintokaa nivutiwe na chama chochote cha kijamaa kutokana na siasa zao za shuruti bila hoja.