Salaam alyeikum wandugu, mimi ni mpenzi wa mziki kiujumla. Niko Mkoa wa Mwanza ,sasa hivi Karibuni nilinunua sound bar ya JBL Wat 500 nimeitumia miezi 8 Tu Ile bar ikawa inakata Moto. Nimeipeleka Kwa fundi kifupi anasema haitengenezeki!!! Sasa nimekuja mbele yenu kikiwa na maombi yafuatayo;
1...
Kanawa sec 2002-2005 wazee WA kudondoa nawakumbuka Sana walikuwa wananuita kamotion Luzugumo filbert,mnaku obeid,mandazi masangu,gungulugwa lukulu,Eliza jijongo,nuru Abbas mbua namtafuta Sana hadi Leo nikimpata anakuwa mchepuko wangu😂😂😂😂
Habarini zenu wataalam Nisikuchosheni nakuja kwenu nikiwa na suala nililoliainisha hapo juu,
Mimi ni msimamizi WA mtihani WA kidato cha NNE SHULE X nimepata changamoto yangu ni kuwa , Katika mkondo ninaosimamia kuna mtahiniwa mmoja alibadilishiwa centre number accidentally kutokana na mtaaluma...
Sitasahau siku Juventus anacheza na Valencia uefa cl, mkeka ulikuwa na tim 9 Kati ya hizo 8 zikawa zishatiki, nilikuwa nimempa magoli matatu +2.5 ,mpaka dkk ya 90+ Ngoma ilikuwa inasoma 1:1 ,Kimazabe Valencia wakapata tuta.kuna MBWA mmoja wakuitwa Danny Parejo akachukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.