Recent content by nyamva

  1. nyamva

    JamiiForums Tanzania Nirejeshee mziki wangu

    Salaam alyeikum wandugu, mimi ni mpenzi wa mziki kiujumla. Niko Mkoa wa Mwanza ,sasa hivi Karibuni nilinunua sound bar ya JBL Wat 500 nimeitumia miezi 8 Tu Ile bar ikawa inakata Moto. Nimeipeleka Kwa fundi kifupi anasema haitengenezeki!!! Sasa nimekuja mbele yenu kikiwa na maombi yafuatayo; 1...
  2. nyamva

    JamiiForums Tanzania Lusajo Mwaikenda una nini? ni lazima amuumize Pacome

    Ulitaka aumizwe na FOBA?
  3. nyamva

    JamiiForums Tanzania Mashujaa 0-1 Simba SC | NBC Premier League | Lake Tanganyika | 1 November, 2024

    Wewe ni mpuuzi
  4. nyamva

    JamiiForums Tanzania Vituko vya Maisha ya Boarding, Tukumbushane Tuliosoma Huko

    Kanawa sec 2002-2005 wazee WA kudondoa nawakumbuka Sana walikuwa wananuita kamotion Luzugumo filbert,mnaku obeid,mandazi masangu,gungulugwa lukulu,Eliza jijongo,nuru Abbas mbua namtafuta Sana hadi Leo nikimpata anakuwa mchepuko wangu😂😂😂😂
  5. nyamva

    JamiiForums Tanzania Kisiwa cha Ukara (Ukara Island)

  6. nyamva

    JamiiForums Tanzania Kwa hakika jana ni siku ambayo mpira wa Afrika umepoteza mvuto Duniani kote.

    Chura atafutaye huruma maskini
  7. nyamva

    JamiiForums Tanzania Nimegundua idadi kubwa ya Watanzania au Africa tumetumia camera moja kuangalia shuti la Ki Aziz

    Ikiletwa image ya kwenye corner flag ndo nitacoment
  8. nyamva

    JamiiForums Tanzania Wachezaji watatu bora kuwahi kucheza Yanga SC

    Na Konkoni?
  9. nyamva

    JamiiForums Tanzania TFF na bodi ya ligi mnapokalia kimya huu utumbo unaofanywa na marefa ni dhahiri kuwa mmetoa baraka zote

    Kwani kuangalia kwako Nani ananufaika? Tunawajua wenye Akili wewe kichwa ni funiko la shingo Tu hilo
  10. nyamva

    JamiiForums Tanzania Sitasahau siku niliyofungiwa Mshahara

    Marangu TC hapo mbwa wewe
  11. nyamva

    JamiiForums Tanzania Kubadilishwa Kwa centre number kwenye namba ya mtahiniwa

    Ahsante Sana Kwa kunitia Moyo maana hapa nilipo nimevurugwa hata POSHO sijaigusa nikijiandaa na kuwajibishwa
  12. nyamva

    JamiiForums Tanzania Kubadilishwa Kwa centre number kwenye namba ya mtahiniwa

    Yaani kosa liko kwenye uandaaji wa namba za kubandika kwenye dawati CAL iko Sawa hata ISAL haina shida
  13. nyamva

    JamiiForums Tanzania Kubadilishwa Kwa centre number kwenye namba ya mtahiniwa

    Habarini zenu wataalam Nisikuchosheni nakuja kwenu nikiwa na suala nililoliainisha hapo juu, Mimi ni msimamizi WA mtihani WA kidato cha NNE SHULE X nimepata changamoto yangu ni kuwa , Katika mkondo ninaosimamia kuna mtahiniwa mmoja alibadilishiwa centre number accidentally kutokana na mtaaluma...
  14. nyamva

    JamiiForums Tanzania Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Sitasahau siku Juventus anacheza na Valencia uefa cl, mkeka ulikuwa na tim 9 Kati ya hizo 8 zikawa zishatiki, nilikuwa nimempa magoli matatu +2.5 ,mpaka dkk ya 90+ Ngoma ilikuwa inasoma 1:1 ,Kimazabe Valencia wakapata tuta.kuna MBWA mmoja wakuitwa Danny Parejo akachukua...
Back
Top Bottom