Recent content by nyamulula

  1. N

    Msaada nataka kununua hii gari "suzuki grand vitara ya 2004 cc 1990"

    Gari tamu sana kwa matumizi ya kifamilia. Ulaji mafuta ni mzuri.Andaa milioni 25
  2. N

    Simu za Xiaomi

    Ngoja nikazione
  3. N

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Xiaomi redmi note 4, 4ram 64GB bei gani?
  4. N

    Sakata la Makonda: Ruge wa Clouds Media ahojiwa na Polisi

    Ukweli utajulikana tuvute subira
  5. N

    TANGA: Mahakama kuu yatupilia mbali shauri la Mama mjane aliyelalamika kwa Magufuli.

    Naomba Pascal Mayalla uombe radhi kwani ulituaminisha yule mama alikuwa anadhulumiwa hakiyake. Hiyo hukumu ya mahakama umeiona?
  6. N

    Msaada, mtoto anakohoa sana!

    Tunaofaidika na somo hili ni wengi
  7. N

    Msaada kwa mwenye uelewa wa Suzuki Escudo toleo la tatu.

    Hizo suzuki ni nzuri sana kama utazingatia service kwa Muda.
  8. N

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Haitatokea katu kwa Lowasa
  9. N

    Msaada kuhusu mwenye unashamed na Suzuki 3rd generation

    Habari.kama kichwa cha habari kinacho jieleza naombeni mwenye uzoefu na aina hii ukizingatia ulaji mafuta, upatikanaji wa spea na uwimara wa gari. ; Kama kitgg G
  10. N

    Sakata la Lugumi: Gazeti la Nipashe latakiwa kuliomba Bunge radhi kwa upotoshaji

    Inasikitisha sana kuona ofisi ya bunge ikianusha kuhusu kamati ya PAC kuutaka mkataba wa Lugumi uwasilishwe na polisi mbele ya waandishi wa habari na leo tunaamviwa media imepotosha umma.
  11. N

    Hakuna ufisadi wowote katika Mkataba kati ya LUGUMI na Jeshi la Polisi

    Umelipwa shilingi ngapi kuwatetea wabadhirifu wa fedha zinazotokana na kodi tunazo kamuliwa?.Onyesha uzalendo kwa nchi yako kwani nchi kwanza na chama baadaye.
Back
Top Bottom