Yupo sahihi kwani katika msimbo wa Isimu Jamii niliyojifunza katika chuo cha Kikatoriki Mwenge ni halali kabisa lengo ni kutaka kuwateka anaowahutubia.
Hilo ni tatizo la sheria zinazopangwa na watu. Sheria hizo hupangwa kwa kuangalia maslahi ya wenye nafasi ya kuzipanga. Hii inatokana na nature ya nafsi ya mwanadamu kuvutia kwake.
Tatizo la uchumi wa kibepari ni kua takwimu za kiuchumi huangaliwa kwa watu wachache ambao kiukweli ndiyo wanaomiriki uchumi . hivyo hiyo taarifa ya Hugo alotoa ni ya mezani kiukweli hali ni ngumu hata wao wanajua .
Mfumo Wa maisha wao ndiyo unaoongoza dunia kwa kushirikiana na Ubepari ambao ndio unaoongoza dunia kwa sasa. Kwa kiasi kikubwa kanisa linashirikiana sana na mabepari kwa kuwa kanisa lenyewe linajikita katika masuala ya ibada tu hali ya kuwa mambo mengine ni kuwaachia mabepari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.