Huu ndio ubabaishaji serikali imemfanyia Dangote alifikia hadi kutengeneza reli lakini imeshindikana

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
Hii inaelezewa na mdau mmoja aliyekuwa anashiriki tenda zianazohusiana na kiwanda hicho




Dangote alipokuja kuwekeza alijua atatumia gesi na mashine zake zilikuwa designed kutumia gesi TPDC walikubaliana na Dangote kuwa watakuwa wanamuuzia gesi kwa mfumo flani
Baadae TPDC wakabadilika wakasema hawatamuuzia Dangote kwa mfumo waliokuwa wamekubaliana

Waziri mkuu akaliweka sawa hilo swala, Lakini TPDC ndio wanaomiliki migodi wa makaa ya mawe wakampandishia, Dangote alitaka kusitisha project lakini wakamshauria gesi ni cheap na makaa ya mawe yanapatikana kiurahisi pia mgodi wa Kitai

Akatoa tenda kwa watu kusafirisha makaa ya mawe na makaa yenyewe yanahitajika kwa kiasi kikubwa gari maalumu aina ya tipper alikuwa anataka gari 300 kwa wakati mmoja
Makaa ya mawe yalilipiwa tani 2000 lakini walikuwa wachimbaji walikuwa wanatoa makaa ya mawe kidogo kidogo sana wanapata t tani 150 wiki hii, wiki nyingine tani 15 sababu ya uzalishaji mdogo

Makaa yakawa yanapatikana kidogo sana na sio kwa wakati ikasababisha Dangote kuagiza makaa kutoka nje, nje yanapatikana kwa wakati hadi tani 1000 kwa wakati
Waziri akazuia makaa kutoka nje, ila mashine za kuchimba makaa ya mawe Tanzania ni duni na usafiri ni shida pia

Dangote akajaribu kutumi mafuta kuzalisha simenti huku aki accumulate makaa kidogo kidogo kutoka huu mgodi wa Tanzania, lakini mafuta yakawa ni ghali sana

Negotiation zikaendelea na Dangote akakubali kutengeneza reli ya kusafirisha makaa kutoka Kitai hadi Mtwara lakini makaa hayapatikani kwa wakati
 
Hii inaelezewa na mdau mmoja aliyekuwa anashiriki tenda zianazohusiana na kiwanda hicho




Dangote alipokuja kuwekeza alijua atatumia gesi na mashine zake zilikuwa designed kutumia gesi TPDC walikubaliana na Dangote kuwa watakuwa wanamuuzia gesi kwa mfumo flani
Baadae TPDC wakabadilika wakasema hawatamuuzia Dangote kwa mfumo waliokuwa wamekubaliana

Waziri mkuu akaliweka sawa hilo swala, Lakini TPDC ndio wanaomiliki migodi wa makaa ya mawe wakampandishia, Dangote alitaka kusitisha project lakini wakamshauria gesi ni cheap na makaa ya mawe yanapatikana kiurahisi pia mgodi wa Kitai

Akatoa tenda kwa watu kusafirisha makaa ya mawe na makaa yenyewe yanahitajika kwa kiasi kikubwa gari maalumu aina ya tipper alikuwa anataka gari 300 kwa wakati mmoja
Makaa ya mawe yalilipiwa tani 2000 lakini walikuwa wachimbaji walikuwa wanatoa makaa ya mawe kidogo kidogo sana wanapata t tani 150 wiki hii, wiki nyingine tani 15 sababu ya uzalishaji mdogo

Makaa yakawa yanapatikana kidogo sana na sio kwa wakati ikasababisha Dangote kuagiza makaa kutoka nje, nje yanapatikana kwa wakati hadi tani 1000 kwa wakati
Waziri akazuia makaa kutoka nje, ila mashine za kuchimba makaa ya mawe Tanzania ni duni na usafiri ni shida pia

Dangote akajaribu kutumi mafuta kuzalisha simenti huku aki accumulate makaa kidogo kidogo kutoka huu mgodi wa Tanzania, lakini mafuta yakawa ni ghali sana

Negotiation zikaendelea na Dangote akakubali kutengeneza reli ya kusafirisha makaa kutoka Kitai hadi Mtwara lakini makaa hayapatikani kwa wakati

Ahsante kwa kuweka taarifa sahihi mkuu.
 
Hizo ndio kazi za kibongo,mara,"ooh boss naomba ruhusa nikamsalimu shangazi yake na jirani yetu amelazwa",

wabongo maendeleo mtayasikia kwenye majira tu,
mtu anataka ordet tan 2000,wewe wachimba kidogokidogo leo tani 5,kesho 15,hapo unategemea kiwanda kimezima kinagonjea mzigo ukamilike ndo kianze production.

Kwa bilionea makini kama dangote huo ujinga hawezi
 
Swali kwa dangote, ,,Hayo makubaliano uliyongia na serikali au na watu binafsi walioko serikalini? Maana kama ni serikalini basi yalipaswa kufuata taratibu maalum sababu hiyo ni raslimali ya watanzania na sio ya watu binafsi.
Wewe dangote kama mfanya biashara mkubwa Africa na tajiri,utawezaje kuwekeza mali bila makubaliano ya kisheria? Kama uliamua kufanya hivo ukijua unakiuka taratibu,huoni kuwa ulikuwa na nia OVU,ya kujinufaisha wewe binafsi na sio umma wa watanzania??
TUTAKUAMINIJE WAKATI ULIKUWA NA LENGO OVU,hata kama umetoa ajira kwa watanzania walio wengi???
 
Back
Top Bottom