Recent content by nyamatongo

  1. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Hii kitu hata huku kwetu ilishatokea sijui ndo uchawi
  2. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kutuambia nani aliwaua waliouawa Oktoba 29?

    Vipi kama uharibifu na uporaji ungeendelea Kwan wiki2. Ndio kuua mtu ni ushetani na ujinga wamwisho, tuliona mapema mara vidole vya wapiga kura vikikatwa na watu kuvirusha kwenye mitandao vipi wangeendelea hivyo. Kama jamii zetu ukiiba kuku wanakutia tairi vipi wale wangese wabaki hai. Ni Bora...
  3. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    Mijnga bado inaamini yesu
  4. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Diamond: Mali zangu zinatambulika kwa jina la Mama Dangote

    Dareen sio mtoto wa mama d,.
  5. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Ila alieiroga Africa ameshakufa kitambo. Hili nalo ni la kufurahia km mtz, ety mijitu inasherehekea vikwazo wakati hata vije nchi itaendelea na hyo mzigo italipa yenyewe sio waganda.
  6. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Kama wanaotoka jela wanarudi na ujuzi, kwa Nini tusiwafunge vijana wote wakapate ujuzi huko?

    Kinachosikitisha ni kua haupo milembe
  7. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Sema jamaa sio maarufu kutokana na ugumu wa jina na muonekano, hajakaa kistaa kabisa.
  8. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ujerumani ahoji bungeni mauaji ya Oktoba 29 Tanzania na kesi ya Lissu

    Dah! Kipindi babu zake wanauwa watanganyika, wanachukua mali ,kufanyisha watu kazi bila malipo, Kodi za hovyo ilikua ni Kwa ajili ya maisha mazur ya vituu vyao. Yeye pia aangaliapo watoto wake sijui anawaza Nini kuhusu Africa.
  9. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Same story, kile kidem nilikioa kikiwa cha hovyo kimeniharibia kazi now ni mitungi tu chenyewe kipo kwao dhohoful Hali. Ila wanawake wote ni mazuzu.
  10. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Tz tukuvali tukatae shida ya Akili ni kubwa kuliko wengi wanavyofikiri. Sasa ujio wake unahusiana vp na mauaji. Mtoa mada nahisi ni yule zuzu wa tff.
  11. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hizi si ndo zile za ccm zilizokua zmefia maofisini vijana wakazichapa faya
Back
Top Bottom