Vipi kama uharibifu na uporaji ungeendelea Kwan wiki2. Ndio kuua mtu ni ushetani na ujinga wamwisho, tuliona mapema mara vidole vya wapiga kura vikikatwa na watu kuvirusha kwenye mitandao vipi wangeendelea hivyo. Kama jamii zetu ukiiba kuku wanakutia tairi vipi wale wangese wabaki hai. Ni Bora...
Ila alieiroga Africa ameshakufa kitambo. Hili nalo ni la kufurahia km mtz, ety mijitu inasherehekea vikwazo wakati hata vije nchi itaendelea na hyo mzigo italipa yenyewe sio waganda.
Dah! Kipindi babu zake wanauwa watanganyika, wanachukua mali ,kufanyisha watu kazi bila malipo, Kodi za hovyo ilikua ni Kwa ajili ya maisha mazur ya vituu vyao. Yeye pia aangaliapo watoto wake sijui anawaza Nini kuhusu Africa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.