Recent content by nyamatongo

  1. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Ted Cruz anayetaka Marekani ituwekee vikwazo, sio Rio Ferdinand wa kumhonga tiketi ya ndege na hoteli

    Ila alieiroga Africa ameshakufa kitambo. Hili nalo ni la kufurahia km mtz, ety mijitu inasherehekea vikwazo wakati hata vije nchi itaendelea na hyo mzigo italipa yenyewe sio waganda.
  2. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Kama wanaotoka jela wanarudi na ujuzi, kwa Nini tusiwafunge vijana wote wakapate ujuzi huko?

    Kinachosikitisha ni kua haupo milembe
  3. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Yamal ana kipaji cha asili, Olise ana ubunifu wa kipekee, lakini Kvaratskhelia anakupa kila kitu

    Sema jamaa sio maarufu kutokana na ugumu wa jina na muonekano, hajakaa kistaa kabisa.
  4. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ujerumani ahoji bungeni mauaji ya Oktoba 29 Tanzania na kesi ya Lissu

    Dah! Kipindi babu zake wanauwa watanganyika, wanachukua mali ,kufanyisha watu kazi bila malipo, Kodi za hovyo ilikua ni Kwa ajili ya maisha mazur ya vituu vyao. Yeye pia aangaliapo watoto wake sijui anawaza Nini kuhusu Africa.
  5. nyamatongo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wivu wa mapenzi wasababisha familia nzima ifukuzwe kutoka Uingereza

    Same story, kile kidem nilikioa kikiwa cha hovyo kimeniharibia kazi now ni mitungi tu chenyewe kipo kwao dhohoful Hali. Ila wanawake wote ni mazuzu.
  6. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Didier Drogba atinga bungeni kushuhudia uwasilishwaji wa makadirio ya Mapato na matumizi ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

    Tz tukuvali tukatae shida ya Akili ni kubwa kuliko wengi wanavyofikiri. Sasa ujio wake unahusiana vp na mauaji. Mtoa mada nahisi ni yule zuzu wa tff.
  7. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania GARI YA KAZI INAUZWA, BEI INAANZIA TSH. 9,500,000

    Hizi si ndo zile za ccm zilizokua zmefia maofisini vijana wakazichapa faya
  8. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Anadai anaunga watu mabando, mb ndo chanzo cha pesa nyingi alizonazo nina mashaka

    Ety kudadisi, na mbona Kodi hyo ndogo. Umeshaelekezwa fanya Yako Dunia haikusubiri mdadisi..😅
  9. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa: Watu wanakuhitaji pale tu wanafaidika na wewe

    Bongo anaetakiwa aonewe huruma ndo huonea huruma wengine. Maskini husikitikia ugonjwa wa tajiri.
  10. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli Watanzania tumeamua kujifanya hatuelewi Polepole na Tundu Lissu wapo walipo kwa sababu ya kutupigania sisi na Tanzania?

    Maisha ndivyo yalivyo. Mchuma janga hula na wajinga wenzie, Yesu mwenyewe alipotaka madaraka Kwa ujanja alisurubiwa kinyama.
  11. nyamatongo

    JamiiForums Tanzania Hizi picha za Singapore kabla ya kupata uhuru mwaka 1965 zinemenifikirisha sana

    Hata wewe mwenyewe yaangalie maisha ya familia Yako then ufanye ulinganisho na maisha ya Makonda jibu utalipata.
Back
Top Bottom