Kiukweli binafsi namuona Nyerere kuwa kiongozi bora na MTU mzuri mtoa mada amejikita katika kulaumu uongozi wake,kwangu Mimi wakati anatoka madarakani nilikuwa na miaka 3,hiyo sijaona uongozi wake,kupitia historia niliosoma juu ya tawala mbalimbali zilizo tawala Taifa letu, inampa mtazamo mbaya...
Mimi sijaelewa hivi wabunge wanalipa kodi katka posho wapewazo!? maana taarifa inasema watalipa kodi kiinua mgongo na sio posho na mishahara yao ,kwa mujibu wa sheria walioipitisha iliwapa msamaha wa kutokulipa kodi .Naomba kueleweshwa.
Cha msingi mr. Pombe ametuomba tumuombee kwa mungu hivyo yote anayofanya nimoja kati ya majibu ya maombi yetu kwa mungu kama kweli tunamuombea mungu atalizidishia taifa letu neema. Mungu ibariki tanzania na mrinde rais wetu dhidi ya wasio ipenda nchi na mafisadi
Nivyema itungwe sheria kamili itakayo tamka siku maalumu ya usafi kwani elimu yetu haikidhi kuwaelimisha kizazi juu ya umuhimu wa usafi,tuludi enzi ya mwl matamko kama "mtu ni afya,afya ni uhai nk" licha ya vyuo vikuu kuwa nvingi bado fikra za usafi miongoni mwa wananchi ni finyu sana.
Naunga Mkono Hoja Yako Maana Namkumbuka Mwl Wangu Wa History Mwaka 2002 Makongo Sekondari Ndani Ya Kipindi Chake Nanukuu " Waajiri Na Matajiri Ni Mashetani Maana Hawapo Tayari Kufanya Kazi Kwa Hasara Na Nilazima Waibe Na Kunyonya Wengine" Maneno Hayo Yalisemwa Kwa Lugha Ya Kiingereza Hii Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.