Ubinafsishaji ndo sera, huo ni mwendelezo tu mkuu. Kesho subiri gereza binafsi you pay before. Ila huduma utapata tv gazeti vitabu vyakula customer service ya juu and no virungu.
Mkuu hao waliomaliza f4 walilazimika kwenda kubanana kwenye high school chache za seminary hata km hawakutaka, wengine walijiunga na shule za binafsi ila kuna wengi walilazimika kutafuta vyuo mbalimbali.
Ila yote hayo sbb ya wakubwa km huyu mama wameropoka. Too sad.
We nyata maelezo nusu nusu hayafai. Umechaguliwa kufanywa nini. Na unachengwa kitu gani. Nenda ofisi ya utawala toa shida yako na kama ni kazi wameandika maelezo yote yafuate maana kila kitu na mipangilio yake
Roho mbaya ya huyu mama ni ya asili. Aliwahi kuropoka amri mwaka 1982 wakati akiwa waziri. Alisema eti seminary si secondary za kawaida hivyo alizuia wote waliomaliza f 4 seminary wasiendelee f5 kwenye shule za serikari na watu wakaumizwa kirahisi . Wkt huo shule zilikuwa chache ajabu hasa high...
Hapa naona maluweluwe tu . Kwanza kuna tabaka la wenye nacho na wasiokuwa nacho. Afu wanaokula na wanaoliwa na kwa mbali bado naona wenye akili na wasiokuwa nazo. Wamecapitalize kwenye ukimya wa mtanzania akiwa analiwa na sasa wanafikiri wanaokiwa wote hawana akili. Bandugu tujipange ili...
Shark umeongea mawazo yangu. Tanzania inapelekwa vibaya miradi ya baadhi ya watu ndo inatusumbua. Inabidi watu tuwe na umoja tuhoji na tukatae mambo mengine. Nahisi kuna mkurugenzi katoa wazo kuwa wateja wa mlimani city na baa nyingi hawakosi chenji ndo maana wameweka ujinga wao kila sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.